MIAKA 36 BILA WAZIRI MKUU SHUJAA EDWARD MORINGE SOKOINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-laoQkAGwGTQ/Xo8Gg5z8VlI/AAAAAAALmpo/MExzrRQfsIUfJw2QSxWD0QXBHyFNW7ADQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
Na Mwandishi Wetu
NI MIAKA 36 sasa tangu atangulie mbele ya haki mwanamapinduzi, mzalendo, shujaa Edward Moringe Sokoine Waziri Mkuu wa pili kwa Tanzania ambaye ameshikilia madaraka hayo kwa nyakati mbili tofauti kuanzia mwaka 1977 hadi 1980 na mwishoni mwa mwaka 1983 hadi mauti yalipomkuta 1984 kwa ajali ya gari pale Mvomero katika kijiji Dakawa Wami au kwa sasa Dakawa Sokoine.
Edward Moringe Sokoine alizaliwa tarehe 01, Agosti 1938 na kufariki tarehe 12, Aprili 1984, anakumbukwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
MIAKA 36 YATIMIA TOKA KIFO CHA CAMARADA EDWARD MORINGE SOKOINE!!!
![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
Jumapili mujarab ya leo, tarehe 12.4.2020, Taifa letu linatimiza miaka 36 toka kipenzi cha Watanzania, Mh. EDWARD MORINGE SOKOINE afariki kwa ajali ya gari siku ya Alhamis, tarehe 12.4.1984 eneo la Dakawa, wilayani Mvomero, mkoani Morogoro.
ATIKALI hii inamuelezea Kiongozi huyu shupavu toka alipozaliwa hadi alipofariki. Hii itawasaidia wengi, hasa The Dot.Com Generation, kuelewa kwanini Taifa linamuenzi Kiongozi huyu ambaye alikuwa ni Zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
2. SOKOINE...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
MIAKA 36 YATIMIA TOKA KIFO CHA CAMARADA EDWARD MORINGE SOKOINE!!!
![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
Jumapili mujarab ya leo, tarehe 12.4.2020, Taifa letu linatimiza miaka 36 toka kipenzi cha Watanzania, Mh. EDWARD MORINGE SOKOINE afariki kwa ajali ya gari siku ya Alhamis, tarehe 12.4.1984 eneo la Dakawa, wilayani Mvomero, mkoani Morogoro.
ATIKALI hii inamuelezea Kiongozi huyu shupavu toka alipozaliwa hadi alipofariki. Hii itawasaidia wengi, hasa The Dot.Com Generation, kuelewa kwanini Taifa linamuenzi Kiongozi huyu ambaye alikuwa ni Zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
2. SOKOINE...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 30 YA KIFO CHA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE WILAYANI MONDULI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QIBeN37b6FU/U0kX_leEnYI/AAAAAAAFaN4/aQVZgYN6e14/s72-c/koine_moringe.jpg)
The Late Edward Moringe Sokoine
![](http://3.bp.blogspot.com/-QIBeN37b6FU/U0kX_leEnYI/AAAAAAAFaN4/aQVZgYN6e14/s1600/koine_moringe.jpg)
Edward Moringe Sokoine had a developmental conception of the village. Sokoine saw the village as a harbinger of self-reliant, national development and the peasant as an agency of change. He was a person of unimpeachable personal integrity.
In 1938, Sokoine was born in Monduli, Arusha Region, Tanzania. From 1948 to...
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Familia ya Edward Moringe Sokoine wafanya misa ya kumkumbuka baba yao
Familia aliye kuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kifo chake nyumbani kwake Monduli juu, siku ambayo huadhimishwa April 12 kila mwaka.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sw9NPBhtLjk/VSvKENlImrI/AAAAAAAAcwc/BzJhVVXSk_w/s1600/IMG-20150413-WA0047.jpg)
Wake wa aliye kuwa Waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine, wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la mume wao nyumbani kwake eneo la Monduli Juu wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya kifo chake siku ambayo huadhimishwa April 12 kila...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ttdZtOrkUAg/VhQBS7d2l9I/AAAAAAADAY8/Ze4OuZAXLPo/s72-c/_MG_3357.jpg)
MAGUFULI AZURU KABULI LA WAZIRI MKUU WA ZAMANI EDWARD SOKOINE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ttdZtOrkUAg/VhQBS7d2l9I/AAAAAAADAY8/Ze4OuZAXLPo/s640/_MG_3357.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CTuy-jnLk_8/VhQBT3o5YjI/AAAAAAADAZA/bKLBIf85BK0/s640/_MG_3370.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0CrLFTvXLtc/VhQBSGX3s_I/AAAAAAADAY0/V0WUecQ5ecg/s640/_MG_3340.jpg)
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XAz7ZJS0pnY/VDexfYlcFXI/AAAAAAACsjc/fQgK7HTS2bI/s72-c/657998666.jpg)
WAZIRI MKUU AVUTIWA NA KASI YA MABADILIKO SOKOINE
![](http://1.bp.blogspot.com/-XAz7ZJS0pnY/VDexfYlcFXI/AAAAAAACsjc/fQgK7HTS2bI/s1600/657998666.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga uongezaji thamani wa mazao ya kilimo (Agri-processing).
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Oktoba 9, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya SUA mara baada ya kutembelea chuo hicho na kukagua utekelezaji wa mradi wa Sayansi na Teknolojia ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10