RAIS KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 30 YA KIFO CHA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE WILAYANI MONDULI
Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameketi na wajane wa hayati Edward Moringe Sokoine pamoja na baadhi ya viongozi wa kitaifa katika misa ya kumbukumbu ya miaka 30 ya kifo cha Sokoine.
Mhe. Rais akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa waziri Mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Mhe. Benjamini William Mkapa akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa waziri Mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
MIAKA 36 YATIMIA TOKA KIFO CHA CAMARADA EDWARD MORINGE SOKOINE!!!
![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
Jumapili mujarab ya leo, tarehe 12.4.2020, Taifa letu linatimiza miaka 36 toka kipenzi cha Watanzania, Mh. EDWARD MORINGE SOKOINE afariki kwa ajali ya gari siku ya Alhamis, tarehe 12.4.1984 eneo la Dakawa, wilayani Mvomero, mkoani Morogoro.
ATIKALI hii inamuelezea Kiongozi huyu shupavu toka alipozaliwa hadi alipofariki. Hii itawasaidia wengi, hasa The Dot.Com Generation, kuelewa kwanini Taifa linamuenzi Kiongozi huyu ambaye alikuwa ni Zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
2. SOKOINE...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
MIAKA 36 YATIMIA TOKA KIFO CHA CAMARADA EDWARD MORINGE SOKOINE!!!
![](https://1.bp.blogspot.com/-OWtXHoyI2gM/XpLjYUgBd2I/AAAAAAALmzQ/Ak9s9TKhJpc1W8c1LEmCLVMgTJFz8A45wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-12%2Bat%2B10.48.01.jpeg)
Jumapili mujarab ya leo, tarehe 12.4.2020, Taifa letu linatimiza miaka 36 toka kipenzi cha Watanzania, Mh. EDWARD MORINGE SOKOINE afariki kwa ajali ya gari siku ya Alhamis, tarehe 12.4.1984 eneo la Dakawa, wilayani Mvomero, mkoani Morogoro.
ATIKALI hii inamuelezea Kiongozi huyu shupavu toka alipozaliwa hadi alipofariki. Hii itawasaidia wengi, hasa The Dot.Com Generation, kuelewa kwanini Taifa linamuenzi Kiongozi huyu ambaye alikuwa ni Zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
2. SOKOINE...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-laoQkAGwGTQ/Xo8Gg5z8VlI/AAAAAAALmpo/MExzrRQfsIUfJw2QSxWD0QXBHyFNW7ADQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
MIAKA 36 BILA WAZIRI MKUU SHUJAA EDWARD MORINGE SOKOINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-laoQkAGwGTQ/Xo8Gg5z8VlI/AAAAAAALmpo/MExzrRQfsIUfJw2QSxWD0QXBHyFNW7ADQCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
NI MIAKA 36 sasa tangu atangulie mbele ya haki mwanamapinduzi, mzalendo, shujaa Edward Moringe Sokoine Waziri Mkuu wa pili kwa Tanzania ambaye ameshikilia madaraka hayo kwa nyakati mbili tofauti kuanzia mwaka 1977 hadi 1980 na mwishoni mwa mwaka 1983 hadi mauti yalipomkuta 1984 kwa ajali ya gari pale Mvomero katika kijiji Dakawa Wami au kwa sasa Dakawa Sokoine.
Edward Moringe Sokoine alizaliwa tarehe 01, Agosti 1938 na kufariki tarehe 12, Aprili 1984, anakumbukwa na...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AONGOZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA KUZALIWA CCM MKOANI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WOf-uA9aAo4/Uu4_bPnUEZI/AAAAAAAFKSo/hIgI8Dc5_YY/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yYM4pcP0J_w/Uu4_hoaH1eI/AAAAAAAFKTI/eoapB1OqGCg/s1600/14.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QIBeN37b6FU/U0kX_leEnYI/AAAAAAAFaN4/aQVZgYN6e14/s72-c/koine_moringe.jpg)
The Late Edward Moringe Sokoine
![](http://3.bp.blogspot.com/-QIBeN37b6FU/U0kX_leEnYI/AAAAAAAFaN4/aQVZgYN6e14/s1600/koine_moringe.jpg)
Edward Moringe Sokoine had a developmental conception of the village. Sokoine saw the village as a harbinger of self-reliant, national development and the peasant as an agency of change. He was a person of unimpeachable personal integrity.
In 1938, Sokoine was born in Monduli, Arusha Region, Tanzania. From 1948 to...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod2TZrqPTPHOu47iwgzMRIsbF70wGreSVriMNoy1gm2s0j3Y1lE9tBNd21UYkZ8z5qjWJjJo2sFBBcRv3T*1qOCC/jk.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yDh-gM7eLc8/VAnLdNjBvtI/AAAAAAAGfBI/kdE4QMEDLOw/s72-c/unnamed%2B(96).jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA UFUNGAJI WA ZOEZI LA MEDANI LA MAADHIMISHO YA MIAKA 50
![](http://3.bp.blogspot.com/-yDh-gM7eLc8/VAnLdNjBvtI/AAAAAAAGfBI/kdE4QMEDLOw/s1600/unnamed%2B(96).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NMgdqse8O04/VAnLdCIalWI/AAAAAAAGfBM/wXfghWnCXEQ/s1600/unnamed%2B(97).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WCwEyZO9JGM/VAnLZdqC7DI/AAAAAAAGfAs/Ds8cRqTNOcI/s1600/unnamed%2B(98).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_uz7noUpti0/VAnLZr2mDEI/AAAAAAAGfA0/3LVppoINl_g/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Familia ya Edward Moringe Sokoine wafanya misa ya kumkumbuka baba yao
Familia aliye kuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kifo chake nyumbani kwake Monduli juu, siku ambayo huadhimishwa April 12 kila mwaka.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sw9NPBhtLjk/VSvKENlImrI/AAAAAAAAcwc/BzJhVVXSk_w/s1600/IMG-20150413-WA0047.jpg)
Wake wa aliye kuwa Waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine, wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la mume wao nyumbani kwake eneo la Monduli Juu wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya kifo chake siku ambayo huadhimishwa April 12 kila...