Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michuano ya CHAN makundi yapangwa

Fainali za CHAN zitafanyika nchini Rwanda kuanzia January 16 mpaka February 7, 2016.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya makundi ya AFCON tayari

Hatua ya makundi ya kufuzu kwa fainali za kombe la mataifa ya Afrika inaanza mwishoni mwa wiki

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania yapangwa kufuta umasikini

TANZANIA imeteuliwa kuwa moja ya nchi nane duniani, zitakazofuta umasikini katika mapambano ya dunia ya utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu. Malengo hayo likiwemo hilo la kufuta umasikini, yanachukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia, ambayo muda wake wa utekelezaji wa miaka 15 umemalizika mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Man U yapangwa na Bayern,Chelsea na PSG

Manchester United imepangwa kukipiga na Bayern Munich katika hatua ya robo fainali ya kombe la mabingwa barani ulaya

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yapangwa na mchekea Ligi ya Mabingwa

SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) jana lilitoa ratiba ya michuano ya kimataifa mwakani ambapo Yanga imepangwa kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Yanga inayoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itaanza hatua ya awali.

 

9 years ago

Mtanzania

Kili Stars yapangwa kundi la kifo Chalenji

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) jana limepanga droo ya michuano ya Kombe la Chalenji, itakayoanza Novemba 21 mwaka huu nchini Ethiopia.

Droo hiyo imeonyesha kuwa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, imepangwa kundi A sambamba na wenyeji Ethiopia, Somalia na Zambia ‘Chipolopolo’ iliyoalikwa kwenye michuano hiyo na kulifanya kuwa kundi la kifo.

Wawakilishi wengine wa Tanzania, Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ wenyewe...

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars yapangwa na Ethiopia, Zambia Chalenji

TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imepangwa kundi moja na wenyeji Ethiopia pamoja na Zambia katika michuano ya Chalenji mwaka huu.

 

11 years ago

BBC

Nigeria and Ghana on course at CHAN

Nigeria and Ghana are in quarter-final action at the African Nations Championship and could meet in the last four of the tournament.

 

11 years ago

BBC

Caf to change CHAN regulations

The Confederation of African Football wants to make changes to the regulations for future African Nations Championships.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani