Tanzania yapangwa kufuta umasikini
TANZANIA imeteuliwa kuwa moja ya nchi nane duniani, zitakazofuta umasikini katika mapambano ya dunia ya utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu. Malengo hayo likiwemo hilo la kufuta umasikini, yanachukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia, ambayo muda wake wa utekelezaji wa miaka 15 umemalizika mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Apr
Tanzania kuuaga umasikini mwaka 2025
TANZANIA inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025.
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
UMASIKINI WA TANZANIA: Uchovu wa akili ya uongozi
KWA miaka 50 sasa, Tanzania imeshuhudia kushindwa kwa uongozi kufikia utashi wa uhuru katika kuleta mujtamaa wa kichumi, kijamii na kisiasa. Mwalimu Julius K. Nyerere alifundisha kwamba, ili nchi yetu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s72-c/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BENKI YA POSTA TANZANIA (KUFUTA NA KUWEKA MASHARTI YA MPITO), 2015 (THE TANZANIA POSTAL BANK {REPEAL AND TRANSITIONAL PROVISION} ACT, 2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EOhtSXQjts8/VZLfjBjmXJI/AAAAAAAHl-Q/D_5gG5bjdko/s640/MOHAMED-HABIB-JUMA-MNYAA-225x272.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Sep
JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thecitizen.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2460580%2FhighRes%2F834518%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2Fq63f98z%2F-%2FJK%2BPX.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania
Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.
Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali ya awamu ya nne...
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Michuano ya CHAN makundi yapangwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpw2RPHosR9pY2BLLK5zsiM620YMcBIiTpy32iISX2SQCj3JRpvL0ciFq4*ze2sAM0nVw3JxHL3jCSKTrUx59ej/Pichana2.jpg?width=650)
WANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WATAALAM WA UTAFITI WA HALI YA UMASIKINI WA KAYA TANZANIA
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Man U yapangwa na Bayern,Chelsea na PSG
9 years ago
Habarileo13 Dec
Yanga yapangwa na mchekea Ligi ya Mabingwa
SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) jana lilitoa ratiba ya michuano ya kimataifa mwakani ambapo Yanga imepangwa kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Yanga inayoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itaanza hatua ya awali.