Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yapangwa kufuta umasikini

TANZANIA imeteuliwa kuwa moja ya nchi nane duniani, zitakazofuta umasikini katika mapambano ya dunia ya utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu. Malengo hayo likiwemo hilo la kufuta umasikini, yanachukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Milenia, ambayo muda wake wa utekelezaji wa miaka 15 umemalizika mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Tanzania kuuaga umasikini mwaka 2025

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoTANZANIA inatarajiwa kuondoka kwenye kundi la nchi masikini na kuhamia kwenye kundi la nchi zenye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UMASIKINI WA TANZANIA: Uchovu wa akili ya uongozi

KWA miaka 50 sasa, Tanzania imeshuhudia kushindwa kwa uongozi kufikia utashi wa uhuru katika kuleta mujtamaa wa kichumi, kijamii na kisiasa. Mwalimu Julius K. Nyerere alifundisha kwamba, ili nchi yetu...

 

10 years ago

Michuzi

MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BENKI YA POSTA TANZANIA (KUFUTA NA KUWEKA MASHARTI YA MPITO), 2015 (THE TANZANIA POSTAL BANK {REPEAL AND TRANSITIONAL PROVISION} ACT, 2015)

Msomaji wa Maoni hayo Mhe. Mohamed Habib J. Mnyaa (Mb) K.n.y Msemaji Mkuu-Kambi Rasmi ya Upinzani, Wizara ya Fedha 29.06.2015.Kusoma maoni hayo BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)

Rais Jakaya Kikwete amezilaumu sera za uchumi za Tanzania baada ya nchi yetu kupata uhuru akidai zimepelekea hali duni ya kiuchumi.Alieleza kuwa sera hizo ni moja ya sababu zinazoifanya Tanzania kuwa katika kundi la Nchi Masikini Zaidi Duniani (The Least Developed Countries - LCD) tangu utaratibu huo wa kuzigawanya nchi kutokana na viwango vyake vya kiuchumi na maendeleo uanze miaka ya 70.Akihutubia Alhamisi iliyopita jijini Washington DC, nchini Marekani katika Kongamano la Shirika la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania

DSC05590

Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.

Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku  ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali  ya awamu ya nne...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya CHAN makundi yapangwa

Fainali za CHAN zitafanyika nchini Rwanda kuanzia January 16 mpaka February 7, 2016.

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA WATAALAM WA UTAFITI WA HALI YA UMASIKINI WA KAYA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Joel Bendera akiwakaribisha washiriki wa mafunzo ya wiki 3 ya utafiti wa kufuatilia hali ya umasikini katika kaya mwaka 2014/15 mkoani Morogoro.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Man U yapangwa na Bayern,Chelsea na PSG

Manchester United imepangwa kukipiga na Bayern Munich katika hatua ya robo fainali ya kombe la mabingwa barani ulaya

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yapangwa na mchekea Ligi ya Mabingwa

SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) jana lilitoa ratiba ya michuano ya kimataifa mwakani ambapo Yanga imepangwa kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Yanga inayoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itaanza hatua ya awali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani