Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Midahalo na usitishaji wa Bunge maalumu la Katiba

Bunge bila ukawa ni kufuja fedha za wananchi katiba bila maridhiano siyo ya wananchi ni ya watawala. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma


Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba  1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa  2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kukutana tena na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia nchini (TCD), kuna taarifa kwamba huenda Oktoba 4, mwaka huu ikawa siku ya mwisho ya kukutana kwa Bunge Maalumu, linaloendelea na utunzi wa Katiba Mpya mjini Dodoma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba kusambaratika?

RAIS wangu wahenga walisema, “Kinachowezekana leo kisingoje kesho”. Inaaminika kuwa akili zetu za leo hazijawahi kuwa kubwa kufikia ukubwa wa akili walizokuwanazo wahenga wetu. Ndiyo maana mpaka leo tunafikiri huku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unyanyapaa usitawale Bunge Maalumu la Katiba

NI zaidi ya miaka mitatu sasa Kamati ya Faharisi ya Unyanyapaa Tanzania imekuwa ikijitahidi kutoa elimu kwa jamii na kuandaa mikakati kabambe itakayosaidia kupunguza na hata kuondoa kabisa suala la...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Viongozi waokoe Bunge Maalumu la Katiba’

Taifa linapita kwenye mawimbi yanayotisia kulisambaratisha kutokana na mjadala wa Katiba mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtei alishukia Bunge Maalumu la Katiba

Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei amesema kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kuendelea na vikao vyake mkoani Dodoma ni kuifilisi nchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba tulitafakari upya

APRILI 25 mwaka huu, Bunge Maalumu la Katiba lilihairishwa rasmi hadi mwezi Agosti kupisha Bunge la bajeti lililoanza jana. Bunge hilo lilihairishwa likiwa limetumia siku 67 kati ya 90 wanazopashwa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge Maalumu la Katiba limetekwa wanasiasa’

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Makersia Jibubu amesema anasikitishwa na namna wanasiasa walivyoliteka Bunge hilo na kuwafanya wajumbe wengine walioteuliwa na Rais kuwa kama njia ya kupitishia hoja zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Siku 60 zaidi Bunge Maalumu la Katiba

Bunge Maalumu la Katiba limeomba kuongezewa muda wa siku 60 kuanzia Agosti 5, mwaka huu litakapokutana kwa ngwe ya pili, Mwananchi limebaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani