MIHADARATI: Vigogo 12 wa dawa za kulevya wakamatwa
>Vigogo 12 wanaodaiwa kusafirisha dawa za kulevya wanahojiwa katika vituo mbalimbali baada ya kutajwa kwenye orodha zilizowasilishwa serikalini na watu mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Vigogo wa dawa za kulevya watoweka
Wauza mahekalu, magari wakimbilia nje Mawakala wahaha, polisi wapigwa butwaa
LChikawe: Tutawanasa wote kimya kimya
NA MWANDISH WETU
SIKU chache baada ya kunaswa kwa watuhumiwa wanaotajwa kuwa ni vinara wa kusafirisha na kuingiza dawa za kulevya nchini, hali imeanza kuwa tete kwa vigogo wengine wa biashara hiyo.
Baadhi ya vigogo wakiwemo wafanyabiashara wakubwa nchini, wameanza kukimbia nje ya nchi kukwepa mkono wa sheria, huku wengine wakisubiri hali itulie ndipo wajitokeze.
Hatua hiyo inatokana...
5 years ago
MichuziTanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Vigogo wauza unga wakamatwa
Na Makongoro Oging’, UWAZI
DAR ES SALAAM: WALE vigogo wanaosadikiwa kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya ‘unga’ nchini wameanza ‘kutumbuliwa majipu’ kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania Kitengo cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kuanza kuwakamata, Uwazi linakupa zaidi.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu ndani ya jeshi hilo, vigogo wengi wanaojihusisha na biashara hiyo walikamatwa wiki iliyopita katika maeneo ya Kinondoni, Ilala na...
10 years ago
Mwananchi20 May
Biashara ya dawa za kulevya
11 years ago
Habarileo12 Jun
Mnigeria kizimbani dawa za kulevya
RAIA wa Nigeria, Anthony Okafor (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 124.4.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
‘Silaha, dawa za kulevya zinaingiaje?’
MBUNGE wa Viti Maalum Moza Abeid (CUF) ameihoji serikali na kutaka itoe maelezo ni kwa njia gani zinatumika kuingiza bidhaa mbalimbali nchini kinyume cha sheria ikiwa ni pamoja na uingizaji...