Mikakati mipya kudhibiti Ukimwi inahitajika
Jana mataifa mbalimbali yaliadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani ambayo hufanyika Desemba Mosi kila mwaka, kama siku maalumu ya kupanua ufahamu kuhusu maafa yanayoletwa na ugonjwa wa Ukimwi. Tarehe hiyo ndiyo siku ambayo kirusi cha Ukimwi kilitambulika rasmi mwaka 1981.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Mikakati mipya lala salama ya uchaguzi
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-68rqpSq_LpE/VnVNeOwJcFI/AAAAAAAA1-s/sOT1crjrrRA/s72-c/1.jpg)
SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAJA NA MIKAKATI MIPYA KIUTENDAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-68rqpSq_LpE/VnVNeOwJcFI/AAAAAAAA1-s/sOT1crjrrRA/s320/1.jpg)
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyuo Vikuu Zainab Abdallah, akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam, Wengine kutoka kushoto ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Daniel Zenda, Katibu wa Idara ya Uchumi na Fedha, Luhende Luhende na Katibu wa Idara ya Elimu, Tafiti na Uongozi, Ally Hapi. (Picha na Bashir Nkoromo).
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ndugu waandishi wa habari,
Kamati ya Uratibu ya Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu Taifa, ilifanya...
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Mikakati mitano ambayo imethihirisha kudhibiti maambukizi ya Covid-19
9 years ago
StarTV03 Dec
Jeshi la polisi laombwa kuboresha mikakati Ili Kudhibiti Ajali Za Barabarani Â
Siku moja baada ya ajali ya basi kugongana na Lori la mafuta na kusababisha vifo vya watu 12 papo hapo na kujeruhi wengine 18 mkoani Singida, baadhi ya wanachi wameliomba Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, kuangalia upya mikakati yake kudhibiti tatizo hilo nchini.
Ajali hiyo ilitokea jana Jumanne majira ya saa 1:30 usiku katika eneo la Kizonzo- Shelui Wilaya ya Iramba barabara kuu ya Singida-Mwanza na kulihusisha basi la Kampuni ya TAKBIIRY lenye namba za usajili T. 230 BRJ...
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Washindi Kamati za kudhibiti UKIMWI Pangani wapata zawadi
Meza kuu,wa kwanza kulia ni Meneja wa redio PANGANI FM Maimuna Msangi, wa pili kutoka kulia ni Mkurugenzi wa shirika la UZIKWASA ambalo limeratibu tamasha hilo VERA PIEROTH,wa tatu ni Kaimu mgeni Rasmi ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya PANGANI Bi Patricia, na wanne ni Mratibu wa masuala ya UKIMWI wilaya ya PANGANI.
Mkurugenzi wa shirika la UZIKWASA, VERA PIEROTH akizungumza jambo wakati wa kuwakaribisha wananchi wa PANGANI katika tamasha hilo.
Na Mwandishi wetu
Shirika...
10 years ago
Michuzi12 Nov
Serikali kudhibiti ukimwi hadi kufikia maambukizi sifuri
Serikali imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025.
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti mtendaji kutoka Tume ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Dkt. Fatma H. Mrisho wakati wa mkutano wa serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji wa programu za ukimwi jana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa mkutano huo...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
SERIKALI KUDHIBITI UGONJWA WA UKIMWI KUFIKIA MAAMBUKIZI SIFURI
![](https://4.bp.blogspot.com/-c1xHReHUfGw/VGMXZivfsyI/AAAAAAACS7g/LtoUHouWx9k/s640/pix%2B1%2B(2).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-N3jckQXK6Ls/VGMXZZdlQpI/AAAAAAACS7c/BeR3y63R0pI/s640/pix%2B2%2B(1).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-LUvztU4Cbo0/VGMXa0cMmVI/AAAAAAACS70/EIztxN2Eav4/s640/pix%2B3%2B(1).jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Sep
Viongozi wa Dini kutoka nchi 17 wakutana jijini Dar kujadili mikakati ya kumaliza mambukizi mapya ya VVU/UKIMWI
Mshereheshaji wa mkutano huo Prof. Venant Nantulya akiwa katika hatua ya uendeshaji wa mkutano wa Viongozi wa ngazi ya juu wa dini katika kupambana na kuweka mikakati ya kuharakisha kumaliza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI.(Picha na Geofrey Adroph).
Mufti mkuu wa Zambia, Sheikh Assadullah Mwale akifungua kwa dua katika mkutano wa viongozi wa dini wa nchi za mashariki na kusini mwa Afrika uliofanyika jana jijini Dar.
Bi. Vanessa Anyoti kutoka YWCA Tanzania (kushoto) akizungumza kuhusiana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s72-c/DSCF4679.jpg)
Wizara ya afya na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi wazindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya VVU nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s1600/DSCF4679.jpg)