Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati ya Kenya kufaidika na mafuta

Kenya inaandaa sheria kuhakikisha itafaidika na sekta ya mafuta endapo makampuni yaliyopewa mkataba yatauza leseni zake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yaweka mikakati ya kuinua utalii

Kenya imeamua kuchukua kupunguza gharama za utalii, kuwavutia watalii wa ndani na nje katika hatua ya kuinua sekta ya utalii

 

10 years ago

Vijimambo

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.Ofisa Mawasiliano wa Ewura, Titus Kaguo (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.Wanahabari wakiwa kwenye mkutano...

 

5 years ago

Michuzi

EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.



Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.

Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.

Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakulima Afrika kufaidika?

Mataifa ya Afrika yanayohudhuria kongamano la shirika biashara duniani jijini Nairobi WTO wameshinikiza wiki nzima kupata usawa wa biashara kwenye soko la kimataifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...

 

10 years ago

Habarileo

Wachezaji kufaidika na Bima ya Afya

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeingia makubaliano na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kuzihudumia klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara. Katika makubaliano hayo, klabu za Ligi Kuu zitawajibika kuwalipia wachezaji wao kiasi cha Sh 76,800 kwa kila mchezaji kwa mwaka mzima, ambapo inalihusu pamoja na benchi la ufundi.

 

10 years ago

Habarileo

Walemavu kufaidika na huduma za NHIF

MAKUNDI mbalimbali ya wajasiriamali wa jamii ya wenye ulemavu yataanza kunufaika na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imefahamika jijini hapa. Mkurugenzi wa huduma za mfuko wa afya ya jamii kutoka NHIF, Rehani Athumani, aliyasema hayo alipokuwa akitoa salamu za NHIF wakati wa uzinduzi wa tawi la Vicoba kwa watu wenye ulemavu katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya shule ya sekondari ya Benjamin Mkapa. Awali, Rais wa Vicoba Tanzania, Devota Likokola (MB), aliushukuru Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na wana-Vicoba katika utoaji wa elimu kwa jamii kuhusu huduma zake na kuuhimiza kuharakisha zoezi la utoaji elimu kwa watu wenye ulemavu ili hatimaye waweze kunufaika na huduma za matibabu. Aidha, Likokola alimshukuru Dk Reginald Mengi ambaye ni mdhamini wa jamii ya watu wenye ulemavu na Benki ya Posta kwa kuunga mkono jamii ya walemavu kujikwamua kiuchumi wakati wote. Katika risala yao mbele ya mdhamini wao, Ramadhani Madabida ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi, walisema kukosa maeneo ya kufanyia biashara na mitaji ni baadhi ya changamoto zinazowakabili katika mapambano yao ya kujikomboa kiuchumi. Madabida aliahidi kuipatia ufumbuzi changamoto ya maeneo ya kufanyia biashara kwa kushirikiana na Meya wa Manispaa ya Kinondoni kama hatua ya awali na pia aliahidi kuwachangia kiasi cha milioni moja kuongezea mtaji wao.MAKUNDI mbalimbali ya wajasiriamali wa jamii ya wenye ulemavu yataanza kunufaika na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imefahamika jijini hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Wasanii kufaidika na Magufuli akiwa rais

MGOMBEA Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk John Magufuli amesema kuwa akichaguliwa kuongoza nchi atahakikisha wasanii na wachezaji wanafaidika na kazi yao.

 

9 years ago

Habarileo

Mikoa minne kufaidika na gesi majumbani

WANANCHI 37,900 wanatarajia kuanza kunufaika na matumizi ya gesi majumbani pamoja na magari 9,400 kwa kuunganishwa na matumizi ya gesi kwenye mikoa minne inayopita bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani