Wakulima Afrika kufaidika?
Mataifa ya Afrika yanayohudhuria kongamano la shirika biashara duniani jijini Nairobi WTO wameshinikiza wiki nzima kupata usawa wa biashara kwenye soko la kimataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Sep
Wachezaji kufaidika na Bima ya Afya
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeingia makubaliano na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kuzihudumia klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara. Katika makubaliano hayo, klabu za Ligi Kuu zitawajibika kuwalipia wachezaji wao kiasi cha Sh 76,800 kwa kila mchezaji kwa mwaka mzima, ambapo inalihusu pamoja na benchi la ufundi.
10 years ago
Habarileo01 Dec
Walemavu kufaidika na huduma za NHIF
MAKUNDI mbalimbali ya wajasiriamali wa jamii ya wenye ulemavu yataanza kunufaika na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imefahamika jijini hapa.
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Mikakati ya Kenya kufaidika na mafuta
10 years ago
Dewji Blog11 Jun
Wateja kufaidika na “Dili Bomba” ya Fastjet
Meneja Mkuu wa kampuni ya fastjet, Afrika masharaki, Jimmy kibati akizungumza na mawakala wa usafiri wa anga na waandishi wa habari kwenye semina kuhusiana na kampeni ya Dili Bomba. Semina hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Mahusiano na Masoko wa Kampuni ya ndege ya Fastjet, Lucy Mbogoro akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Mshauri wa Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Afisa...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Tanzania kuzidi kufaidika na Lions Clubs
KLABU ya Lions International na wadau wengine wanatarajia kukusanya jumla ya dola milioni 60 za Marekani ifikapo mwaka 2017, ili kuimarisha kampeni ya chanjo ya surua na rubella barani Afrika,...
9 years ago
Habarileo15 Nov
Mikoa minne kufaidika na gesi majumbani
WANANCHI 37,900 wanatarajia kuanza kunufaika na matumizi ya gesi majumbani pamoja na magari 9,400 kwa kuunganishwa na matumizi ya gesi kwenye mikoa minne inayopita bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo24 Aug
Wasanii kufaidika na Magufuli akiwa rais
MGOMBEA Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk John Magufuli amesema kuwa akichaguliwa kuongoza nchi atahakikisha wasanii na wachezaji wanafaidika na kazi yao.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jAlUW1R_Bzg/U89hG2faIKI/AAAAAAAF5B8/gRg-bJvsGho/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Tanzania kufaidika na umeme jua kutoka Canada
![](http://4.bp.blogspot.com/-jAlUW1R_Bzg/U89hG2faIKI/AAAAAAAF5B8/gRg-bJvsGho/s1600/unnamed+(6).jpg)