Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wateja kufaidika na “Dili Bomba” ya Fastjet

Image One

Meneja Mkuu wa kampuni ya fastjet, Afrika masharaki, Jimmy kibati akizungumza na mawakala wa usafiri wa anga na waandishi wa habari kwenye semina kuhusiana na kampeni ya Dili Bomba. Semina hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.

Image Two

Afisa Mahusiano na Masoko wa Kampuni ya ndege ya Fastjet, Lucy Mbogoro akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.

Image Three

Mshauri wa Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.

Image Four

Afisa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wateja Fastjet waendelea kuzawadiwa

SHIRIKA la Ndege ya Fastjet limeendelea kuwazawadia wateja wake zawadi ya tiketi kwa ajili ya watu wawili na kulala katika hoteli yenye mandhari nzuri iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya...

 

9 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel kupata ofa ya simu bomba kupitia SMARTIFONIKA Bazaar

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa mara nyingine imekuja na ofa kabambe kupitia SMARTFONIKA Bazaar na kuwawezesha wateja kupata simu mbalimbali za kisasa katika msimu huu wa sikukuu
Gulio la simu yaani smartphone Bazaar litakuwa katika maeneo ya Mlimani City na Quality Center kuanzia siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Watanzania watapata nafasi ya kuchagua na kununua simu za aina ya smartphone inayokidhi mahitaji yao kwa bei nafuu. Ofa hii pia itapatikana katika maduka ya Airtel ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Fastjet yatoa punguzo la bei kwa wateja wanaokwenda kuhudhuria Lohana Sports and Cultural Festival Uganda

CAPTION 1

Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akiongea na Bw. Navin Kanabar (kushoto) na Bw. Manish Rughani (katikati) ambao ni wateja wa fastjet waliopata tiketi za punguzo la bei kwenda Entebe Uganda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet  ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua tiketi nyingi.

CAPTION 2

Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bi. Nishita Davda tiketi ya kwenda...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja

Mbili (1)

Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.

Moja 1

Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege  ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa  Bunge ya Miundombinu,  Peter Serukamba.

nne

Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakulima Afrika kufaidika?

Mataifa ya Afrika yanayohudhuria kongamano la shirika biashara duniani jijini Nairobi WTO wameshinikiza wiki nzima kupata usawa wa biashara kwenye soko la kimataifa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja

IMG_5019

Wateja wakisikiliza mazungumzo mojakwamoja Baina ya mteja na muhudumu wetu katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter)  IMG_5004 IMG_4911 Mkuu wa idara ya Huduma kwa wateja, Ndugu Zaeem Khan akikabidhi kadi za kipaumbele kwa wateja waliohudhuria hafla hiyo. IMG_5035 Wateja waliopata nafasi ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) wakipata maelekezo kuhusu huduma za Tigo. picha 02 Picha ya pamoja ya Wafanyakazi  na wateja wa Tigo waliotembelea kituo cha Huduma kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Wachezaji kufaidika na Bima ya Afya

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeingia makubaliano na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kuzihudumia klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara. Katika makubaliano hayo, klabu za Ligi Kuu zitawajibika kuwalipia wachezaji wao kiasi cha Sh 76,800 kwa kila mchezaji kwa mwaka mzima, ambapo inalihusu pamoja na benchi la ufundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mikakati ya Kenya kufaidika na mafuta

Kenya inaandaa sheria kuhakikisha itafaidika na sekta ya mafuta endapo makampuni yaliyopewa mkataba yatauza leseni zake

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani