Wateja kufaidika na “Dili Bomba” ya Fastjet
Meneja Mkuu wa kampuni ya fastjet, Afrika masharaki, Jimmy kibati akizungumza na mawakala wa usafiri wa anga na waandishi wa habari kwenye semina kuhusiana na kampeni ya Dili Bomba. Semina hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Mahusiano na Masoko wa Kampuni ya ndege ya Fastjet, Lucy Mbogoro akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Mshauri wa Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Afisa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wateja Fastjet waendelea kuzawadiwa
SHIRIKA la Ndege ya Fastjet limeendelea kuwazawadia wateja wake zawadi ya tiketi kwa ajili ya watu wawili na kulala katika hoteli yenye mandhari nzuri iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya...
9 years ago
MichuziWateja wa Airtel kupata ofa ya simu bomba kupitia SMARTIFONIKA Bazaar
Gulio la simu yaani smartphone Bazaar litakuwa katika maeneo ya Mlimani City na Quality Center kuanzia siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Watanzania watapata nafasi ya kuchagua na kununua simu za aina ya smartphone inayokidhi mahitaji yao kwa bei nafuu. Ofa hii pia itapatikana katika maduka ya Airtel ...
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Fastjet yatoa punguzo la bei kwa wateja wanaokwenda kuhudhuria Lohana Sports and Cultural Festival Uganda
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akiongea na Bw. Navin Kanabar (kushoto) na Bw. Manish Rughani (katikati) ambao ni wateja wa fastjet waliopata tiketi za punguzo la bei kwenda Entebe Uganda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua tiketi nyingi.
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bi. Nishita Davda tiketi ya kwenda...
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja
Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.
Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Wakulima Afrika kufaidika?
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
9 years ago
Habarileo10 Sep
Wachezaji kufaidika na Bima ya Afya
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeingia makubaliano na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kuzihudumia klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara. Katika makubaliano hayo, klabu za Ligi Kuu zitawajibika kuwalipia wachezaji wao kiasi cha Sh 76,800 kwa kila mchezaji kwa mwaka mzima, ambapo inalihusu pamoja na benchi la ufundi.
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Mikakati ya Kenya kufaidika na mafuta
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Zanzibar kufaidika na ubunifu wa Zantel
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco), imezindua huduma mpya ya kununua umeme wa ‘Tukuza’ kupitia EzyPesa. Akizungumza wakati wa kuzindua huduma...