Wateja Fastjet waendelea kuzawadiwa
SHIRIKA la Ndege ya Fastjet limeendelea kuwazawadia wateja wake zawadi ya tiketi kwa ajili ya watu wawili na kulala katika hoteli yenye mandhari nzuri iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Jun
Wateja kufaidika na “Dili Bomba” ya Fastjet
Meneja Mkuu wa kampuni ya fastjet, Afrika masharaki, Jimmy kibati akizungumza na mawakala wa usafiri wa anga na waandishi wa habari kwenye semina kuhusiana na kampeni ya Dili Bomba. Semina hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Mahusiano na Masoko wa Kampuni ya ndege ya Fastjet, Lucy Mbogoro akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Mshauri wa Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Afisa...
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Fastjet yatoa punguzo la bei kwa wateja wanaokwenda kuhudhuria Lohana Sports and Cultural Festival Uganda
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akiongea na Bw. Navin Kanabar (kushoto) na Bw. Manish Rughani (katikati) ambao ni wateja wa fastjet waliopata tiketi za punguzo la bei kwenda Entebe Uganda kuhudhuria tamasha la 33 la michezo na Utamaduni lijulikanalo kama Lohana Festival, kampuni ya Fastjet ilitoa punguzo la bei kwa kundi la wateja 150 walionunua tiketi nyingi.
Meneja wa Biashara wa Kampuni ya Fastjet Bi. Jean Uku akimkabidhi Bi. Nishita Davda tiketi ya kwenda...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HJsiN2mDLBs/VjGWD5-oRuI/AAAAAAAIDUY/1pCdnyzOp34/s72-c/PICT%2B1%2B%25282%2529.jpg)
Wateja wa Airtel waendelea kujishindia pesa taslim kila wiki
![](http://1.bp.blogspot.com/-HJsiN2mDLBs/VjGWD5-oRuI/AAAAAAAIDUY/1pCdnyzOp34/s640/PICT%2B1%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WHiOuthZZaA/VjGWDYCgf7I/AAAAAAAIDUU/SHdaotCXAdQ/s640/PICT%2B2%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eOu8TS9yTyU/VQk82-Z2kzI/AAAAAAAHLN0/51rBV_wrtkI/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WATEJA WA AIRTEL WAENDELEA KUNUFAIKA NA TOYOTA IST ZA YATOSHA ZAIDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eOu8TS9yTyU/VQk82-Z2kzI/AAAAAAAHLN0/51rBV_wrtkI/s1600/PIC%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CXsgPQl2FHA/VQk897ZAu5I/AAAAAAAHLN8/BUhnDyDOIhE/s1600/PIC%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 May
Wateja wa viwanja Lindi waendelea kusaini hati jijini Dar e Salaam
Afisa Ardhi wa Lindi anayeshughulikia hati hizo jijini Dar es Salaam Mpoki Daimon (katikati), akimpa maelezo mmoja wa wateja waliofika kwenye ofisi za UTT-PID, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya zoezi hilo la saini. Kushoto kwake ni Afisa wa UTT-PID ambao ndio wawezeshaji wakuu wa mradi huo, Martin Mchanjila.
Na Mwandishi Wetu
Wateja wa mradi wa Viwanja vilivyopo Manispaa ya Lindi wameendelea kusaini hati zao jijini Dar es Salaam kwa uratibu wa Manispaa ya Lindi kwa ushirikiano na Taasisi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW23L-FkTCjxgeGbm4SYDxfBMpa5cJPkH*xuCDTNWpb62Jlml1MERzVpl1kdqfzB-FFBAPt3v-ouX4N4Q6wIBtG4z/PICT12.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL WAENDELEA KUJISHINDIA PESA TASLIM KILA WIKI
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Waziri Mwakyembe awapongeza FastJet kwa huduma nzuri kwa wateja
Wafanyakazi wa kampuni ya FastJet wakipita mbele ya mgeni rasmi ambae ni Waziri wa Uchukuzi Mh.Harrison Mwakyembe wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani.
Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe akizungumza na wafanyakzi wa kampuni ya ndege ya FastJet wakati wa maadhimisho ya siku ya anga duniani ambapo aliipongeza kampuni hiyo kwa kutoa huduma kwa bei rahisi kwa wasafiri pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba.
Waziri wa Uchukuzi HarrisonMwakyembe...
9 years ago
MichuziSIKU YA 2 :BENKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WAENDELEA KUADHIMISHA WIKI HUDUMA KWA WATEJA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aXr9LcHzar0/VHgTY0miF2I/AAAAAAAARgo/CMKb_rR84dY/s72-c/THANKS%2BGIVING%2BFRIDAY.jpg)