Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati ya Remnant Academy kuinua elimu

ELIMU ni msingi wa maendeleo kote ulimwenguni na taifa lisilowekeza katika elimu ya watu wake, linajiandalia kaburi kwa sababu litashindwa kuendana na kasi ya maendeleo  ya nyanja mbalimbali yanayotokea kote...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yaweka mikakati ya kuinua utalii

Kenya imeamua kuchukua kupunguza gharama za utalii, kuwavutia watalii wa ndani na nje katika hatua ya kuinua sekta ya utalii

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA UTALII YATAJA MIKAKATI ENDELEVU 10 KUINUA UTALII KATIKA MLIPUKO WA CORONA


Mwenyekiti wa Bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akizungumza na Waandishi wa Habari katika Mkutano wa Bodi uliofanyika Jijini Dar es Salaam Aprili, 29, 2020.Wajumbe wa Bodi wakifuatilia Mkutano wa Waandishi wa Habari na Mwenyekiti wa Bodi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Jaji Mstaafu Thomas uliofanyika Jijini Dar es Salaam Aprili, 29, 2020.Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii (TTB), Bi. Devotha Mdachi akifafanua jambo kwa waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kuzindua mpango wa kuinua elimu

RAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuzindua Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania (Equip-Tanzania), unafadhiliwa na Serikali ya Uingereza kupitia Shirika la Misaada la Uingereza (DFID- UKAID). Mpango huo utakaotekelezwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali, sekta binafsi kuinua elimu

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema itaendelea kushirikiana na watendaji na sekta binafsi katika kupatia ufumbuzi wa ukuaji wa elimu nchini ili kufikia malengo ya Matokeo Makubwa Sasa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Unesco kuendelea kusaidiana na Tanzania kuinua elimu

IMG_8896

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akielezea mantiki ya warsha ya wadau wa elimu kuhusu viwango vya umahiri wa Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu Tanzania iliyofanyika mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani mwishoni mwa juma.

IMG_8887

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), limesema litaendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania kuhakikisha kwamba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chuo India chadhamiria kuinua elimu nchini

MKURUGENZI wa Chuo Kikuu cha Rajendra Singh cha nchini India, Dk. Sarit Kumar, amesema chuo chake kipo tayari kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuinua sekta ya elimu nchini. Amesema chuo...

 

11 years ago

Mwananchi

EQUIP- Uwekezaji mkubwa wa kuinua elimu Tanzania

Wadau wengi wa elimu wanakiri kuwa uwekezaji hasa katika maeneo muhimu ndiyo unaoweza kunusuru hali ya mambo katika sekta ya elimu.

 

10 years ago

GPL

UNESCO KUENDELEA KUSAIDIANA NA TANZANIA KUINUA ELIMU‏

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akielezea mantiki ya warsha ya wadau wa elimu kuhusu viwango vya umahiri wa Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu Tanzania iliyofanyika mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani mwishoni mwa juma. Mratibu wa Kitaifa wa Mradi wa CFIT kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani