Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNESCO KUENDELEA KUSAIDIANA NA TANZANIA KUINUA ELIMU‏

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akielezea mantiki ya warsha ya wadau wa elimu kuhusu viwango vya umahiri wa Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu Tanzania iliyofanyika mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani mwishoni mwa juma. Mratibu wa Kitaifa wa Mradi wa CFIT kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Unesco kuendelea kusaidiana na Tanzania kuinua elimu

IMG_8896

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akielezea mantiki ya warsha ya wadau wa elimu kuhusu viwango vya umahiri wa Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu Tanzania iliyofanyika mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani mwishoni mwa juma.

IMG_8887

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), limesema litaendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania kuhakikisha kwamba...

 

11 years ago

Mwananchi

EQUIP- Uwekezaji mkubwa wa kuinua elimu Tanzania

Wadau wengi wa elimu wanakiri kuwa uwekezaji hasa katika maeneo muhimu ndiyo unaoweza kunusuru hali ya mambo katika sekta ya elimu.

 

10 years ago

Habarileo

UNESCO kutekeleza mradi kuinua bidhaa za Kimasai

SHIRIKA la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania linatarajia kutekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiriamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana.

 

10 years ago

GPL

MRADI WA MAJARIBIO WA KUFUNDISHA MASOMO YA SAYANSI WA UNESCO WANEEMESHA TANZANIA‏

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akisoma risala ya kufungwa kwa mradi huo ambao uliojulikana kama Micro Science Kits (MSKs) kwa wadau wa elimu, wakuu wa shule mbalimbali, maafisa elimu na maofisa wa serikali kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za shirika hilo jijini Dar.   Pichani juu na chini ni baadhi ya wadau wa elimu, wakuu...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akibadilishana mawazo na kushoto ni Mwenyekiti mwenza wa Mkutano wa UN-REDD Kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa Eduardo Rojas ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Msaidizi anayeshughulikia masuala ya misitu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) na kulia ni Charles McNeill, UN-REDD...

 

9 years ago

GPL

UN NA SERIKALI YA TANZANIA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI ILIYOPO NCHINI‏

Mkuu wa wilaya ya Nyamagana, Baraka Konisaga akisoma hotuba kwa niaba ya Kaimu Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kwenye maadhimsho ya siku ya kimataifa ya Amani Duniani ambapo kitaifa imefanyika jijini Mwanza. Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues akitoa ujumbe maalum kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Unesco, Irina Bokova kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK kuzindua mpango wa kuinua elimu

RAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kuzindua Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania (Equip-Tanzania), unafadhiliwa na Serikali ya Uingereza kupitia Shirika la Misaada la Uingereza (DFID- UKAID). Mpango huo utakaotekelezwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mikakati ya Remnant Academy kuinua elimu

ELIMU ni msingi wa maendeleo kote ulimwenguni na taifa lisilowekeza katika elimu ya watu wake, linajiandalia kaburi kwa sababu litashindwa kuendana na kasi ya maendeleo  ya nyanja mbalimbali yanayotokea kote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani