Mikono ya wanasiasa inavyochochea migogoro ya ardhi
Migogoro ya ardhi inayojitokeza kwa sasa katika jamii imeendelea kuwa tishio la amani ya nchi yetu kutokana na athari mbalimbali zinazodaiwa kuchangiwa na matokeo ya udhaifu wa kimfumo, ongezeko la idadi ya watu, shughuli za uwekezaji, upanuzi wa miji, shughuli za ufugaji na nyinginezo nyingi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Wanasiasa chanzo cha migogoro ya ardhi
WANASIASA wamebainika kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi inayotokea nchini na kusababisha vifo huku wengine wakibaki na ulemavu kama inavyojitokeza katika mgogoro wa Kiteto, mkoani Manyara. Mbali na hilo, serikali...
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PCdcQRGzMH4/XrmCoY6R0sI/AAAAAAALp0A/ZcpmEtyenGsxIo5PwJ6i6h8Q4Ahde4mwgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wanasiasa lawamani migogoro ya mipaka
MIGOGORO ya mipaka kati ya vijiji vya Mkanga ya Kwanza na Kineng’ene, Manispaa ya Lindi na wa kijiji cha Muungano, halmashauri ya Lindi imetajwa kuchangiwa na wanasiasa ambao hawaheshimu mipaka halali iliyopo kwa maslahi ya kisiasa.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
‘Migogoro ya ardhi inadumaza maendeleo’
BAADHI ya wakazi wa mji wa Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani wamesema migogoro kati ya wakulima na wafugaji ni chanzo cha kudumaza maendeleo katika maeneo yao. Wananchi hao katika vijiji tofauti...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Ushivimwa suluhisho migogoro ya ardhi
MIGOGORO ya ardhi katika maeneo mengi hapa nchini yamekuwa na madhara kwa wananchi kwa kusababisha maafa. Mbali ya kusababisha maafa, migogoro hiyo imekuwa ikisababisha kudumaza maendeleo kwenye maeneo yanayokabiliwa na...
11 years ago
Habarileo20 Dec
‘Dawa ya migogoro ya ardhi inakuja’
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema zoezi la usajili wa ardhi linaloendelea nchini ndiyo litakaloipatia ufumbuzi migogoro ya ardhi na kuweza kuwatambua wamiliki halali pamoja na wale wavamizi.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Tukomeshe haraka migogoro ya ardhi