Wanasiasa lawamani migogoro ya mipaka
MIGOGORO ya mipaka kati ya vijiji vya Mkanga ya Kwanza na Kineng’ene, Manispaa ya Lindi na wa kijiji cha Muungano, halmashauri ya Lindi imetajwa kuchangiwa na wanasiasa ambao hawaheshimu mipaka halali iliyopo kwa maslahi ya kisiasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Wanasiasa lawamani kuua Saccos
11 years ago
Habarileo26 Apr
Waaswa kushirikiana kumaliza migogoro ya mipaka
WATUMISHI wa idara ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Singida wametakiwa kushirikiana na madiwani wao ili kutatua migogoro ya mipaka iliyopo maeneo mbalimbali ya halmashauri hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-m_p70FgtIeM/VHgyuWWkODI/AAAAAAACvg0/NTgfqf4dGPs/s72-c/ARDHI-YA-JUMUIYA-YA-UHIFADHI-WANYAMAPORI.jpg)
Migogoro ya ardhi, mipaka ni tishio wilayani Handeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_p70FgtIeM/VHgyuWWkODI/AAAAAAACvg0/NTgfqf4dGPs/s1600/ARDHI-YA-JUMUIYA-YA-UHIFADHI-WANYAMAPORI.jpg)
SERIKALI Kuu kwa kushirikiana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya Handeni na Mkoa mzima wa Tanga, wameombwa kuingilia kati mgogoro mzito wa ardhi katika kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, ili kuepusha hatari inayoweza kutokea, ikiwamo vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Hayo yamesemwa juzi na wananchi wa kijiji hicho katika mkutano ulioandaliwa na taasisi ya Handeni Kwetu Foundation inayofanya ziara katika maeneo mbalimbali, hususan ya wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, baada ya kuzinduliwa Mei 8...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Mikono ya wanasiasa inavyochochea migogoro ya ardhi
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Wanasiasa chanzo cha migogoro ya ardhi
WANASIASA wamebainika kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi inayotokea nchini na kusababisha vifo huku wengine wakibaki na ulemavu kama inavyojitokeza katika mgogoro wa Kiteto, mkoani Manyara. Mbali na hilo, serikali...
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Serikali lawamani
![Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Jakaya-Kikwete.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.
Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.
Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.
Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Wizara lawamani
JEURI ya waandaaji wa Tamasha la Fiesta kukaidi amri ya Mahakama na kumpandisha jukwaani msanii maarufu wa nchini Nigeria, David Adedeji ‘Davido’ ilitokana na nguvu ya Wizara yenye dhamana na...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Viongozi wa dini lawamani
MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigalla, amesema kasi ya ongezeko la ufisadi na uhalifu nchini kunatokana na tatizo la viongozi wa dini kutofanya kazi yao ya kukemea maovu...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Watendaji Bagamoyo lawamani
KUPORWA kipande cha ardhi ya mwekezaji, Ester Shayo, wilayani Bagamoyo, Pwani kumesababishwa na baadhi ya watendaji wa Kijiji cha Bago kutozingatia sheria na badala yake kuendekeza ubaguzi. Akizungumza na waandishi...