Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa lawamani kuua Saccos

>Mameneja wa Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) nchini, wamesema kuwa wanasiasa ndiyo wanaoua vyama hivyo kwa kuingiza wanachama wasiofuata taratibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa lawamani migogoro ya mipaka

MIGOGORO ya mipaka kati ya vijiji vya Mkanga ya Kwanza na Kineng’ene, Manispaa ya Lindi na wa kijiji cha Muungano, halmashauri ya Lindi imetajwa kuchangiwa na wanasiasa ambao hawaheshimu mipaka halali iliyopo kwa maslahi ya kisiasa.

 

10 years ago

Habarileo

Udini, ukabila vyatajwa kuua Saccos Kibaha

IMEELEZWA kuwa baadhi ya Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) kwenye Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, vimekufa kutokana na baadhi yao kuchagua viongozi kwa kuzingatia udini na ukabila.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali lawamani

Jakaya Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete

NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM

WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.

Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.

Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.

Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wizara lawamani

JEURI ya waandaaji wa Tamasha la Fiesta kukaidi amri ya Mahakama na kumpandisha jukwaani msanii maarufu wa nchini Nigeria, David Adedeji ‘Davido’ ilitokana na nguvu ya Wizara yenye dhamana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jehi la Indonesia lawamani

Kikundi cha kutetea haki za binaadamu nchini Indonesia,kimetaka majeshi ya nchi hiyo kuacha tabia ya kuchunguza bikira jeshini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji Bagamoyo lawamani

KUPORWA kipande cha ardhi ya mwekezaji, Ester Shayo, wilayani Bagamoyo, Pwani kumesababishwa na baadhi ya watendaji wa Kijiji cha Bago kutozingatia sheria na badala yake kuendekeza ubaguzi. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini lawamani

MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigalla, amesema kasi ya ongezeko la ufisadi na uhalifu nchini kunatokana na tatizo la viongozi wa dini kutofanya kazi yao ya kukemea maovu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Tibaijuka lawamani

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anadaiwa kuingilia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ardhi Kanda ya Tabora. Mahakama hiyo katika uamuzi wa kesi namba 13/2013...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madaktari Temeke lawamani

MADAKTARI wa Hospitali za Zakhem na Temeke za wilayani Temeke, jijini Dar es Salaam, wamelalamikiwa kutoa majibu ya uongo kwa mtoto anayedaiwa kubakwa na kijana ambaye hajafahamika hadi sasa. Tuhuma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani