Wanasiasa lawamani kuua Saccos
>Mameneja wa Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) nchini, wamesema kuwa wanasiasa ndiyo wanaoua vyama hivyo kwa kuingiza wanachama wasiofuata taratibu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wanasiasa lawamani migogoro ya mipaka
MIGOGORO ya mipaka kati ya vijiji vya Mkanga ya Kwanza na Kineng’ene, Manispaa ya Lindi na wa kijiji cha Muungano, halmashauri ya Lindi imetajwa kuchangiwa na wanasiasa ambao hawaheshimu mipaka halali iliyopo kwa maslahi ya kisiasa.
10 years ago
Habarileo15 Sep
Udini, ukabila vyatajwa kuua Saccos Kibaha
IMEELEZWA kuwa baadhi ya Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) kwenye Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, vimekufa kutokana na baadhi yao kuchagua viongozi kwa kuzingatia udini na ukabila.
10 years ago
Mtanzania03 Sep
Serikali lawamani
![Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Jakaya-Kikwete.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
NA PATRICIA KIMELEMETA, DAR ES SALAAM
WANANCHI walio wengi wameonekana kuwa na imani ndogo na maofisa wa Serikali za Mitaa na Vijiji katika kushughulikia masuala yao.
Pia sekta ya maji na umeme ni miongoni mwa taasisi rasmi za serikali ambazo wananchi hawana imani nazo.
Kwamba wananchi wanaona taasisi hizo zinawarudisha nyuma kimaendeleo kwa sababu zimeshindwa kutatua kero zinazowakabili.
Kutokana na hali hiyo, hawaoni kama wanao uwezo...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Wizara lawamani
JEURI ya waandaaji wa Tamasha la Fiesta kukaidi amri ya Mahakama na kumpandisha jukwaani msanii maarufu wa nchini Nigeria, David Adedeji ‘Davido’ ilitokana na nguvu ya Wizara yenye dhamana na...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Jehi la Indonesia lawamani
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Watendaji Bagamoyo lawamani
KUPORWA kipande cha ardhi ya mwekezaji, Ester Shayo, wilayani Bagamoyo, Pwani kumesababishwa na baadhi ya watendaji wa Kijiji cha Bago kutozingatia sheria na badala yake kuendekeza ubaguzi. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Viongozi wa dini lawamani
MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigalla, amesema kasi ya ongezeko la ufisadi na uhalifu nchini kunatokana na tatizo la viongozi wa dini kutofanya kazi yao ya kukemea maovu...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Waziri Tibaijuka lawamani
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anadaiwa kuingilia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Ardhi Kanda ya Tabora. Mahakama hiyo katika uamuzi wa kesi namba 13/2013...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Madaktari Temeke lawamani
MADAKTARI wa Hospitali za Zakhem na Temeke za wilayani Temeke, jijini Dar es Salaam, wamelalamikiwa kutoa majibu ya uongo kwa mtoto anayedaiwa kubakwa na kijana ambaye hajafahamika hadi sasa. Tuhuma...