Migogoro ya ardhi, mipaka ni tishio wilayani Handeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_p70FgtIeM/VHgyuWWkODI/AAAAAAACvg0/NTgfqf4dGPs/s72-c/ARDHI-YA-JUMUIYA-YA-UHIFADHI-WANYAMAPORI.jpg)
SERIKALI Kuu kwa kushirikiana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya Handeni na Mkoa mzima wa Tanga, wameombwa kuingilia kati mgogoro mzito wa ardhi katika kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, ili kuepusha hatari inayoweza kutokea, ikiwamo vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Hayo yamesemwa juzi na wananchi wa kijiji hicho katika mkutano ulioandaliwa na taasisi ya Handeni Kwetu Foundation inayofanya ziara katika maeneo mbalimbali, hususan ya wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, baada ya kuzinduliwa Mei 8...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAMASHA LA HANDENI KWETU KUFANYIKA DESEMBA 31 WILAYANI HANDENI MKOANI TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-r8fysY5OXRo/VAQW4UyzX0I/AAAAAAAAIQ0/bnvYT0qN5zo/s1600/handeni%2B1.jpg)
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PCdcQRGzMH4/XrmCoY6R0sI/AAAAAAALp0A/ZcpmEtyenGsxIo5PwJ6i6h8Q4Ahde4mwgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Wanasiasa lawamani migogoro ya mipaka
MIGOGORO ya mipaka kati ya vijiji vya Mkanga ya Kwanza na Kineng’ene, Manispaa ya Lindi na wa kijiji cha Muungano, halmashauri ya Lindi imetajwa kuchangiwa na wanasiasa ambao hawaheshimu mipaka halali iliyopo kwa maslahi ya kisiasa.
11 years ago
Habarileo26 Apr
Waaswa kushirikiana kumaliza migogoro ya mipaka
WATUMISHI wa idara ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Singida wametakiwa kushirikiana na madiwani wao ili kutatua migogoro ya mipaka iliyopo maeneo mbalimbali ya halmashauri hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--9wuQipZB6Y/VT-H-klHQqI/AAAAAAAHTzg/8s1S1gHlcLE/s72-c/IMG_3790.jpg)
WIZARA YA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI YAIMALISHA MIPAKA YA NCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/--9wuQipZB6Y/VT-H-klHQqI/AAAAAAAHTzg/8s1S1gHlcLE/s1600/IMG_3790.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vg2B5F7PK0M/VT-H-aH2UTI/AAAAAAAHTzc/TgTFtMJDpnQ/s1600/IMG_3825.jpg)
Mkurugenzi msaidizi, Upimaji vijijini, Bw. Huruma Lugalla akionyesha kwenye ramani mipaka mbalimbali ya ndani ya nchi na...
5 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU WILAYANI HANDENI MKOANI TANGA
10 years ago
MichuziMATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI
Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...