Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Migogoro ya ardhi, mipaka ni tishio wilayani Handeni



SERIKALI Kuu kwa kushirikiana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya Handeni na Mkoa mzima wa Tanga, wameombwa kuingilia kati mgogoro mzito wa ardhi katika kijiji cha Komsala, wilayani Handeni, ili kuepusha hatari inayoweza kutokea, ikiwamo vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Hayo yamesemwa juzi na wananchi wa kijiji hicho katika mkutano ulioandaliwa na taasisi ya Handeni Kwetu Foundation inayofanya ziara katika maeneo mbalimbali, hususan ya wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, baada ya kuzinduliwa Mei 8...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA HANDENI KWETU KUFANYIKA DESEMBA 31 WILAYANI HANDENI MKOANI TANGA

TAMASHA kubwa la umataduni linalojulikana kama 'Handeni Kwetu' limepangwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga.Mratibu Mkuu wa Tamasha la Handeni Kwetu, Kambi Mbwana, akizungumza jambo katika tamasha la mwaka lililofanyika Desemba 14. Mwaka huu tamasha hilo litafanyika Desemba 13, Siku ya Jumamosi, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Picha na Maktaba Yetu.Wasanii wa kundi la ngoma za asili la Mgambo JKT, wilayani...

 

5 years ago

CCM Blog

OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ofisi ya ardhi ya mkoa wa Manyara jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexzander Mnyeti na kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akioongozwa na Kamishna Msaidizi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Manyara Leonard Msafiri (kushoto) wakati wa uzinduzi wa ofisi ya ardhi ya mkoa huo jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara...

 

5 years ago

Michuzi

Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni

Na Amiri kilagalila,Njombe Wananchi mkoani Njombe wamelalamikia kuchelewa kusikilizwa kwa Mashauri ya migogoro ya ardhi na kupelekea kuwaathiri kiuchumi wakati wakiendelea kufuatilia mashauri yanayosikilizwa na baraza ya ardhi. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wanaofika katika mabaraza ya ardhi yanayosuluhisha migogoro ya ardhi mkoani Njombe ambapo miongoni mwao akiwemo Remigius Ilomo na Geofrey Msambwa wamezungumzia kero wanayoipata na Kwamba Kumekuwa Kukiwaongezea Gharama kubwa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiongea na wananchi waliojitokeza kuwasilisha kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mkoani Iringa. Alisisitiza kuwa Mkoa wa Iringa uharakishe kupima ardhi ya wananchi ili kupunguza migogoro ya ardhi. Sehemu ya umati wa wananchi wa Mkoa wa Iringa wakimsikiliza Waziri Lukuvi aliposikiliza kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Manispaa ya Iringa.


...

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa lawamani migogoro ya mipaka

MIGOGORO ya mipaka kati ya vijiji vya Mkanga ya Kwanza na Kineng’ene, Manispaa ya Lindi na wa kijiji cha Muungano, halmashauri ya Lindi imetajwa kuchangiwa na wanasiasa ambao hawaheshimu mipaka halali iliyopo kwa maslahi ya kisiasa.

 

11 years ago

Habarileo

Waaswa kushirikiana kumaliza migogoro ya mipaka

WATUMISHI wa idara ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Singida wametakiwa kushirikiana na madiwani wao ili kutatua migogoro ya mipaka iliyopo maeneo mbalimbali ya halmashauri hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI YAIMALISHA MIPAKA YA NCHI

Mkurugenzi msaidizi, Topografia na Jiodesia, wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dr. James Mtamakaya,(katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mipaka ya Kimataifa, baina ya Tanzania na nchi jirani, katika ukumbi wa HABARI – MAELEZO, (kulia)ni Mpima Ardhi, Geofrey Kameta na (kushoto) kwake ni Mkurugenzi msaidizi, Upimaji Vijijini, Huruma Lugalla.
Mkurugenzi msaidizi, Upimaji vijijini, Bw. Huruma Lugalla akionyesha kwenye ramani mipaka mbalimbali ya ndani ya nchi na...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU WILAYANI HANDENI MKOANI TANGA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiweka jiwe la msingi la jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Machi 3, 2020.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mitambo baada ya  kuweka jiwe la msingi la kiwanda cha kuchakata nafaka katika kijiji cha Mkata wilayani Handeni Machi 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa   Mkata wilayani Handeni, machi 3, 2020. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia  wananchi wakati alipowasili ...

 

10 years ago

Michuzi

MATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu 
 Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani