Mikopo ya wanafunzi yafikia Sh86.5 bilioni
Hadi kufikia Machi 31 mwaka huu, Wizara ya Elimu ilihitaji kiasi cha Sh86.5 bilioni kwa ajili ya mikopo ya wananfunzi, Bunge lilielezwa jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
BODI YA MIKOPO YATAKIWA KUWA TAYARI KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI PINDI VYUO VITAKAPOFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0oHVA2UbJjY/XsKDtaBJVtI/AAAAAAALqqI/MYmvXNWfSuwiEzqd-KE1pvfhLbD7QQYGwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.03%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZorMRMpkxok/XsKDugAyI6I/AAAAAAALqqQ/ZOLUe0pbRl0cMunDKQwEcuLriC0jUDSeQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.22%2BPM.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YASOGEZA MBELE TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jM1o7O6hdjw/VaaBI8AGdBI/AAAAAAABRzk/sdo2WPNb7xM/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa muda wa kuwasilisha maombi ya mikopo umeongezwa mbele hadi tarehe 31 Julai, 2015.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya maombi ya mikopo katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kuwa, awali Bodi ilianza kupokea maombi kwa njia ya mtandao tarehe 4 Mei, 2015 na mwisho wa kuwasilisha maombi ulipangwa kuwa tarehe 30 Juni, 2015.
Kupitia...
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w3XZMinggZs/VUNxY743_cI/AAAAAAAHUes/huYv7T34hvI/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
BODI YA MIKOPO YAANZA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO KUTOKA KWA WANAFUNZI KWA MWAKA WA MASOMO 2015-2016
![](http://3.bp.blogspot.com/-w3XZMinggZs/VUNxY743_cI/AAAAAAAHUes/huYv7T34hvI/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unapatikana katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu, Mei 4, 2015...
11 years ago
Michuzi02 Jul
11 years ago
Habarileo15 Jun
Bodi ya Mikopo yakusanya bilioni 49.7/-
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekusanya zaidi ya Sh bilioni 49.7 ya mikopo kutoka kwa wanufaika wa mikopo hiyo hadi kufikia Aprili 30, mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Serikali yaiongeza Bodi ya Mikopo Sh132 bilioni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...
11 years ago
Habarileo12 Aug
Wanafunzi sayansi ‘kuula’ mikopo
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema imeweka mkazo kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi wapewe kipaumbele kupata mikopo ya elimu ya juu katika Bodi ya Mikopo ya Zanzibar.