Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mimi na Wema ndiyo tunajua ukweli

Uwepo wa maneno mengi yanayoongelewa juu ya uhusiano uliopo kati ya mwanamuziki Nassib Abdul ‘Diamond’na mrembo kutoka Uganda Zari Hassan ‘The boss Lady’, umezidi kuwapa maswali mashabiki wake. Wengi wao wamekuwa na hamu ya kutaka kujua ukweli juu ya hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mimi ndiyo nitaleta mabadiliko CCM

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alisema kuwa muda wa mabadiliko aliyotabiri Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere ni sasa na kwamba yeye ndiye anayeweza kuyaongoza.

 

10 years ago

GPL

MBASHA: MIMI NA FLORA NDIYO BASI TENA!

Brighton Masalu
Mwisho wa reli? Aliyekuwa mume wa mwanamuziki wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameapa kwa kulamba kidole, kukichovya kwenye mchanga kisha kukipitisha shingoni kuwa, hana mpango wa kurudiana na mkewe huyo katika maisha yake, Ijumaa Wikienda linakumenyea. Aliyekuwa mume wa mwanamuziki wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha. Akizungumza na gazeti hili wikiendi iliyopita, Mbasha aliweka wazi maumivu...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira: Hii ndiyo Tanzania ninayoitaka mimi

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira ametangaza nia ya kuwania urais akisema iwapo CCM itampa ridhaa ya kupeperusha bendera yake, atahakikisha utendaji wa Serikali yake unakuwa wa kitaasisi.

 

10 years ago

Vijimambo

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2


Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.

Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...

 

10 years ago

GPL

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2

Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza. Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo...

 

10 years ago

GPL

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?

Ni Jumanne tena! Wapenzi wasomaji wa safu hii ya mapenzi na maisha, nawakaribisha leo kwa ajili ya mada nyingine ambayo ni motomoto kama ilivyo kawaida yangu. Baada ya wiki iliyopita kumalizana na mada ya kosea kuchagua kila kitu lakini siyo mwenza. Wiki hii tuna mada hii ya Mimi Mtu Wangu Mzungu. Nimekuwa nikiwasikia watu mbalimbali, wake kwa waume wakilitumia hili neno (Mzungu) japokuwa kwa upande wa wenzetu wanawake ndiyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha:Ukweli Kuhusu Wema na Ommy Huu Hapa!

Hatimaye imekuwa dhahili  kuwa mwanamziki Ommy Dimpoz ambae anajiita ‘Baba Wanjera’ na mwigizaji Wema Sepetu ambae ameitwa  kama Wanjera  walikuwa wakifanya kazi na sio malavidavi kama ilivyokuwa ikidhaniwa  siku za hivi karibuni kutokana ukaribu waliokuwa nao.

Leo saa 4 asubuhi ngoma ya Ommy inayokwenda kwa jina la Wanjera  itaruka hewani  kwenye TV na redio zote ndani na nje ya nchi.

Jionee baadhi ya picha zitakazo onekana kwenye ngoma hiyo.

Mzee wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema : Diamond Anakinyongo na Mimi!

Akiongea redioni kwenye kipindi cha Ubaoni cha EFM hapo jana ,  Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu alisema  kuwa hana kinyongo na aliekuwa mpenzi wake, Diamond ambae ni staa wa Bongo Fleva, ila Diamond ndiye bado ameendelea kuwa na kinyongo naye.

Wema  alisema kuna siku alimtumia ujumbe wa simu Diamond kumpa pole kwa kumuuguza mama yake lakini alimchunia.

“Tumeshaachana kwanini tuwekeane grudges,?”alihoji Wema kwenye kipindi hicho. “Tulikuwa pamoja lakini tumeachana kwanini tuwekeane...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani