Mimi na Wema ndiyo tunajua ukweli
Uwepo wa maneno mengi yanayoongelewa juu ya uhusiano uliopo kati ya mwanamuziki Nassib Abdul ‘Diamond’na mrembo kutoka Uganda Zari Hassan ‘The boss Lady’, umezidi kuwapa maswali mashabiki wake. Wengi wao wamekuwa na hamu ya kutaka kujua ukweli juu ya hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Lowassa: Mimi ndiyo nitaleta mabadiliko CCM
10 years ago
GPL
MBASHA: MIMI NA FLORA NDIYO BASI TENA!
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Wasira: Hii ndiyo Tanzania ninayoitaka mimi
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2

Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
10 years ago
GPL
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
10 years ago
GPL
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?
10 years ago
Bongo Movies13 Mar
Picha:Ukweli Kuhusu Wema na Ommy Huu Hapa!
Hatimaye imekuwa dhahili kuwa mwanamziki Ommy Dimpoz ambae anajiita ‘Baba Wanjera’ na mwigizaji Wema Sepetu ambae ameitwa kama Wanjera walikuwa wakifanya kazi na sio malavidavi kama ilivyokuwa ikidhaniwa siku za hivi karibuni kutokana ukaribu waliokuwa nao.
Leo saa 4 asubuhi ngoma ya Ommy inayokwenda kwa jina la Wanjera itaruka hewani kwenye TV na redio zote ndani na nje ya nchi.
Jionee baadhi ya picha zitakazo onekana kwenye ngoma hiyo.
Mzee wa...
10 years ago
Bongo Movies18 Apr
Wema : Diamond Anakinyongo na Mimi!
Akiongea redioni kwenye kipindi cha Ubaoni cha EFM hapo jana , Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu alisema kuwa hana kinyongo na aliekuwa mpenzi wake, Diamond ambae ni staa wa Bongo Fleva, ila Diamond ndiye bado ameendelea kuwa na kinyongo naye.
Wema alisema kuna siku alimtumia ujumbe wa simu Diamond kumpa pole kwa kumuuguza mama yake lakini alimchunia.
“Tumeshaachana kwanini tuwekeane grudges,?”alihoji Wema kwenye kipindi hicho. “Tulikuwa pamoja lakini tumeachana kwanini tuwekeane...