Mipango ya kukabili ugaidi Afrika Mashariki
Wajumbe 300 kutoka mashirika ya usalama ya kimataifa walikutana jijini Nairobi kujadili namna ya kukabiliana na changamoto za kiiuslama barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
11 years ago
Habarileo01 May
EAC kukabili ugaidi kwa nguvu zote
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema nchi wanachama katika jumuiya hiyo, zitatumia rasilimali zao kukabiliana na ugaidi na uhalifu unaozikabili.
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
10 years ago
Habarileo30 Sep
Wanawake Afrika waisaidia Tanzania kukabili saratani
CHAMA cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (AWCAA) kimemkabidhi mke wa Rais, Mama Salma Kikwete mashine moja ya Mammogram, ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti, yenye thamani ya zaidi dola za Marekani 200,000 (Sh milioni 320).
10 years ago
Habarileo02 Sep
Marais 15 Afrika kujadili ugaidi
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuungana na marais wengine 14 wa Afrika, kujadili mbinu za kupambana na ugaidi na matukio mengine kuhifadhi raia wa Nepal yanayotishia hali ya usalama barani Afrika.
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Afrika Kusini yachukua tahadhari ya ugaidi
10 years ago
Habarileo03 Sep
OIC kusaidia vita dhidi ya ugaidi Afrika
JUMUIYA ya Nchi za Kiislamu Duniani (OIC), imelaani matukio ya kigaidi yanayoshika kasi, ikisema kamwe haiyaungi mkono makundi ya kigaidi yanayodai kufanya uhalifu kwa kigezo cha kutekeleza misingi ya dini ya Kiislamu.
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Umuhimu wa Kiswahili Afrika Mashariki