Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Misitu ya tao la Mashariki iwe urithi wa dunia’

Shirika la Kuhifadhi Misitu (TFCG) limemwomba Rais Jakaya Kikwete kurejesha mchakato wa kuingiza misitu ya Tao la Mashariki katika urithi wa dunia ili ipewe kipaumbele katika uhifadhi wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dk. Bilal achangisha Shs. 105 milioni kuhifadhi vyanzo vya maji milima ya Tao la Mashariki

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Maalum, Mshauri wa kampuni ya VIP Engineering & Marketing, Fr. James Rugemalira, wakati wa hafla ya Uchangishaji fedha kwa Uhifadhi wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya Mtera, Kihansi, Kidatu, Nyumba ya Mungu na Pangani, iliyofanyika jana usiku Sept 28, 2015 kwenye Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. (Picha zote na OMR).

Na Daniel Mbega wa...

 

11 years ago

Habarileo

Magofu Kilwa yarejeshewa Urithi wa Dunia

MAGOFU ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyokuwa yamewekwa katika orodha ya Urithi wa Dunia ulio hatarini kutoweka, yamerudishiwa hadhi yake ya awali ya Urithi wa Dunia.

 

10 years ago

Mwananchi

Uturuki imepania Tanzania iwe lango la biashara A. Mashariki

Nipo katika ubalozi wa Uturuki jijini Dar es Salaam, ambako Baraza la Mambo ya nje ya Uturuki ya Mahusiano ya Kiuchumi (DEiK) inaeleza kuhusu mpango wa nchi hiyo kushirikiana na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na biashara.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Elimu duni, siasa zinavyomaliza misitu Kanda ya Mashariki

UPANDAJI miti, ni zoezi linalotakiwa kupewa kipaumbele nchini, kwani miti inasaidia kuzuia mafuriko na inazuia mmomonyoko wa ardhi. Wananchi wamekua wakihamasishwa kupanda miti hata katika maeneo ya nyumbani kwao, wanaokata...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YACHAGULIWA NA UNESCO KUWA MJUMBE WA KAMATI YA URITHI WA DUNIA

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akizungumza na Waandishi wa Habari (hawako pichani) leo tarehe 23/11/2015 katika Ofisi za Wizara hiyo ambapo amesema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kwa kipindi cha miaka minne. Uchaguzi huo umefuatia uamuzi wa Mkutano Mkuu wa 20 wa nchi Wanachama wa Mkataba wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) unaohusu Urithi wa Dunia uliofanyika mjini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yaula UNESCO yachaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya Urithi Dunia!

IMG_1417

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Maliasili, Dk. Adelhelm Meru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani juu ya Tanzania kupata nafasia hiyo kutoka UNESCO kuwa mjumbe wa urithi wa Dunia kwa kipindi cha miaka minne.

Nafasi hiyo ni baada ya uchaguzi uliofanyika hivi karibuni jijini Paris, Ufaransa Makao makuu ya UNESCO.

IMG_1413

Mkurugenzi Msaidizi Mafunzo  na takwimu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi Eliwasa Maro akitoa ufafanuzi wa nafasi hiyo kwa waandishi wa habari  (hawapo...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA

GU9A7961Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira , Mh. Binilith Mahenge akisamiana na Mwenyekiti mwenza wa Mkutano wa UN-REDD Kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa Eduardo Rojas ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Msaidizi anayeshughulikia masuala ya misitu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) mara baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa mikutano kufungua kikao cha 13 cha wadau wanaotekeleza program ya kutunza misitu ya Umoja wa Mataifa REDD+ kinachofanyika Ngurdoto Jijini...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akibadilishana mawazo na kushoto ni Mwenyekiti mwenza wa Mkutano wa UN-REDD Kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa Eduardo Rojas ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Msaidizi anayeshughulikia masuala ya misitu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) na kulia ni Charles McNeill, UN-REDD...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA

 Moto ukiendelea kuwaka kabla ya kuanza kuzima na ntambo wa zima moto Mtambo wa zima moto ukirusha maji umbali wa mita 100 kuzima moto uliokuwa unawaka katika eno hilo wakati wa tukio la uzinduzi wa mtambo huo uliofanyika Mlandizi mkoani Pwani Mtambo wa kuzima moto ukiendelea kutoa maji kwa ajili ya kuzima moto uliokuwa umewashwa na watumishi wa TFS kwa ajili ya kuonesha uwezo wa mtambo huo kwenye kuzima moto Watumishi wa TFS ambao wamepata mafunzo ya kuzima moto kwa kutumia mtambo huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani