Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magofu Kilwa yarejeshewa Urithi wa Dunia

MAGOFU ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyokuwa yamewekwa katika orodha ya Urithi wa Dunia ulio hatarini kutoweka, yamerudishiwa hadhi yake ya awali ya Urithi wa Dunia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Magofu ya Kilwa yaondolewa orodha hatarishi

WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyokuwa yameorodheshwa kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia ulio hatarini, yameondolewa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Misitu ya tao la Mashariki iwe urithi wa dunia’

Shirika la Kuhifadhi Misitu (TFCG) limemwomba Rais Jakaya Kikwete kurejesha mchakato wa kuingiza misitu ya Tao la Mashariki katika urithi wa dunia ili ipewe kipaumbele katika uhifadhi wake.

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YACHAGULIWA NA UNESCO KUWA MJUMBE WA KAMATI YA URITHI WA DUNIA

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akizungumza na Waandishi wa Habari (hawako pichani) leo tarehe 23/11/2015 katika Ofisi za Wizara hiyo ambapo amesema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kwa kipindi cha miaka minne. Uchaguzi huo umefuatia uamuzi wa Mkutano Mkuu wa 20 wa nchi Wanachama wa Mkataba wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) unaohusu Urithi wa Dunia uliofanyika mjini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yaula UNESCO yachaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya Urithi Dunia!

IMG_1417

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Maliasili, Dk. Adelhelm Meru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani juu ya Tanzania kupata nafasia hiyo kutoka UNESCO kuwa mjumbe wa urithi wa Dunia kwa kipindi cha miaka minne.

Nafasi hiyo ni baada ya uchaguzi uliofanyika hivi karibuni jijini Paris, Ufaransa Makao makuu ya UNESCO.

IMG_1413

Mkurugenzi Msaidizi Mafunzo  na takwimu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi Eliwasa Maro akitoa ufafanuzi wa nafasi hiyo kwa waandishi wa habari  (hawapo...

 

11 years ago

Habarileo

Urithi Selous hatarini

PORI la Akiba la Selous lenye ukubwa wa kilometa za mraba 50,000 limeingizwa katika orodha ya maeneo ya Urithi wa Dunia yaliyo hatarini.

 

10 years ago

Mwananchi

Urithi wa Mzee Sykes...

Wiki hii tasnia ya muziki nchini imepoteza mwanamuziki mkongwe, Ebby Sykes ambaye alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 62.

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni akana njama ya urithi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amepinga tuhuma kuwa anamuandaa mtoto wake kumrithi katika madaraka ya urais wa nchi hiyo wakati atakapostaafu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chama cha Urithi wa wanawake Kenya

Je umewahi kusikia chama cha wanaume kuwarithi wajane?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani