Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urithi Selous hatarini

PORI la Akiba la Selous lenye ukubwa wa kilometa za mraba 50,000 limeingizwa katika orodha ya maeneo ya Urithi wa Dunia yaliyo hatarini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Urithi wa Mzee Sykes...

Wiki hii tasnia ya muziki nchini imepoteza mwanamuziki mkongwe, Ebby Sykes ambaye alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 62.

 

11 years ago

BBCSwahili

Museveni akana njama ya urithi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amepinga tuhuma kuwa anamuandaa mtoto wake kumrithi katika madaraka ya urais wa nchi hiyo wakati atakapostaafu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chama cha Urithi wa wanawake Kenya

Je umewahi kusikia chama cha wanaume kuwarithi wajane?

 

11 years ago

Habarileo

Magofu Kilwa yarejeshewa Urithi wa Dunia

MAGOFU ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyokuwa yamewekwa katika orodha ya Urithi wa Dunia ulio hatarini kutoweka, yamerudishiwa hadhi yake ya awali ya Urithi wa Dunia.

 

10 years ago

Mtanzania

Rais wa Gabon atoa urithi kwa umma

Gabon-Ali-Bongo-OndimbaNa Mwandishi Wetu, Mashirika ya Habari

RAIS wa Gabon, Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa sehemu kubwa ya urithi alioachiwa na marehemu baba yake, Omar Bongo kwa vijana wa taifa hilo.

“Kwa macho yangu, sote tu warithi wa Omar Bongo,” Rais alisema wakati akilihutubia taifa jana ikiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa nchi hiyo.

Kiasi rasmi cha urithi wa baba yake ambaye alitawala taifa hilo kwa miaka 41 hadi alipofia madarakani mwaka 2009, bado hakijajulikana, lakini ameripotiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Misitu ya tao la Mashariki iwe urithi wa dunia’

Shirika la Kuhifadhi Misitu (TFCG) limemwomba Rais Jakaya Kikwete kurejesha mchakato wa kuingiza misitu ya Tao la Mashariki katika urithi wa dunia ili ipewe kipaumbele katika uhifadhi wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjane aliyeinuka kimaisha kwa kuuza ng’ombe wa urithi

Ni katika Viwanja vya Maonyesho ya Nanenane vya John Mwakangale jijini Mbeya ndipo mjane Doroth Myunga anaeleza machungu ya maisha aliyokumbana baada ya kufiwa na mume wake mwaka 2005.

 

10 years ago

Vijimambo

SEMINA YA RASIMU YA SERA YA URITHI WA UTAMADUNI YAFANYIKA ZANZIBAR

Mkurugenzi Uendeshaji na Utumishi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Joseph Kilangi akitoa hutuba yake ya ufunguzi katika Semina ya majadiliano ya “Rasimu ya Sera ya Urithi wa Utamaduni” iliyofanyika Forodhani Mjini Zanzibar,kulia kwake ni Mkurugenzi wa Uendeshaji na Utumishi, Sera na Utafiti wa Wizara hiyo na kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Dkt. Amina Ameir Issa. Proff Shariff Mtaalamu wa Historia akitoa mchango wake katika Semina ya majadiliano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani