Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misri: uchaguzi wa rais utatangulia

Misri imetangaza kuwa uchaguzi wa rais utatangulia uchaguzi wa bunge

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MPYA WA MISRI MHE ABDEL FATTAH Al-SISI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais mpya wa Misri Mhe Abdel Fattah Al-Sisi mjini Malabo, Equatorial Guinea, pembeni ya Mkutano wa kawaida wa Umoja wa Afrika Juni 26, 2014.PICHA NA IKULU

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri

Tume ya uchaguzi yabadilisha ratiba ya uchaguzi wa wabunge kufuatia uamuzi wa mahakama

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa ubunge waanza Misri

Uchaguzi wa ubunge ambao umesubiriwa kwa muda mrefu nchini Misri unaanza huku watu wakipiga kura katika balozi tofauti kote duniani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri yatangaza tarehe uchaguzi wa bunge

Mamlaka ya uchaguzi nchini Misri imesema kuwa uchaguzi wa wabunge nchini humo unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba na Novemba mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Misri waanza leo kwa siku mbili

Raia wa Misri watapiga kura siku mbili kumchagua rais mpya chini ya ulinzi mkali kuhakikisha mchakato wa upigaji kura.

 

11 years ago

GPL

RAIS AL SISI WA MISRI AAPISHWA

Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi. Rais wa Misri, Abdel Fatah al Sisi ameapishwa rasmi kama rais mpya wa Misri katika sherehe iliyofanyika katika mahakama ya kikatiba katika mji mkuu wa Cairo. Baada ya wimbo wa taifa na kusomwa kwa Quran, rais al Sisi alikula kiapo chake ambapo aliahidi kuheshimu sheria na maslahi ya raia wa misri. Al Sisi alishinda uchaguzi wa urais mwezi uliopita kwa kura nyingi japo idadi ya waliojitokeza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais mpya wa Misri kuapishwa

Usalama umeimarishwa katika mji mkuu wa Misri ,Cairo kabla ya kufanyika kwa sherehe ya kumuapisha rais Abdel Fatah el Sisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani