Mitaa 89 Dar kurudia uchaguzi leo
Jumla ya mitaa 89 kutoka wilaya tatu za Mkoa wa Dar es Salaam, leo zinatarajiwa kufanya uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza katika uchaguzi uliofanyika Desemba 14 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR LEO.
10 years ago
GPLUCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR WALALAMIKIWA
Zoezi la upigaji kura lilivyokuwa maeneo ya kituo cha Mapambano.…
10 years ago
VijimamboWAKAZI WA MTAA WA MIGOMBANI WAGOMEA KURUDIA UCHAGUZI
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Baraza kuu CUF lakataa kurudia uchaguzi Z'bar
Baraza Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), limekutana na kusisitiza kuwa hawatarudia uchaguzi wa Zanzibar.
10 years ago
Vijimambo12 Dec
JIONI YA LEO MWANZA,MWIGULU AFUNIKA MKUTANO KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10461429_321054031430165_1257200098938413066_n.jpg?oh=1bfe882e556e23dd8c41d45d42304f6c&oe=554650CD&__gda__=1427204625_203f3c2d63e0e6c31aae39576716327e)
leo tar 12.12.2014 Viwanja vya shule ya Msingi Mabatini.
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10382169_321053528096882_9023993479375782475_n.jpg?oh=a6d4d640d0718ca04f7541bdcdee3456&oe=550B928F&__gda__=1425854982_ad01863d2c21807c1a57e0af69bd0a8f)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10858520_321053611430207_4980674157478630945_n.jpg?oh=e5085bd85440a1759f841b86a44b046a&oe=55427DB3&__gda__=1430587403_953ccaa820f0219a17600673f5f379fb)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/1507562_321053324763569_7051942344833148087_n.jpg?oh=2a46a47e59ae96225e2133c09e83f65d&oe=55055DB4)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/1535008_321053358096899_7413097274992200878_n.jpg?oh=46a0e640d2e8cb424b7a9d69dd3ec743&oe=550A6DA1&__gda__=1430389088_dc560369cabc4c8acbf82c1c806ec54c)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Uchaguzi Serikali za Mitaa katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-OG9oygIBt1E/VI2G30dk1zI/AAAAAAAG3JY/9DerUXndtzY/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--5jufqTIbGQ/VI2G5XNl6vI/AAAAAAAG3J0/ntNMvRn3nq4/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
GPLCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Tanzania ,Bara ,Shabani Mambo Akizungumza katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama hicho kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kagame Jijini Dar es Salaam. Wanachama wa ACT wakiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Kagame Jijini Dar es Salaam wakipata taarifa ya Chama kwa kipindi cha… ...
10 years ago
Michuzi12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
Na Bashir Nkoromo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaingia katika uchaguzi wa serikali za mitaa kesho, kikiwa kimeshajizolea maelfu ya nafasi ambazo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Akihutubia kwenye mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi huo, katika Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani, jimbo la Ilala jijini Dar es Salaam, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alisema, kulingana na takwimu CCM imepita bila kupingwa katika vijiji 2708, mitaa 644, na vitongoji zaidi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ipuMIaaNf1A/VJW-5Bbv6YI/AAAAAAAG4wA/E-Xep4IVtn4/s72-c/image061.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM LINATOA TAHADHARI WAKATI WA UCHAGUZI WA MARUDIO, SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ipuMIaaNf1A/VJW-5Bbv6YI/AAAAAAAG4wA/E-Xep4IVtn4/s1600/image061.jpg)
Awali, uchaguzi huo ulifanyika nchini kote tarehe 14/12/2014 na kulazimika kuahirishwa katika baadhi ya vituo vya kupigia kura kutokana na sababu mbalimbali. Katika mkoa wa Dar es Salaam uchaguzi huo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania