Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitambo ya kubaini ulaghai kwenye simu

SERIKALI imeweka mitambo ya aina tatu kukabili ulaghai na udanganyifu kwenye mawasiliano na miamala ya simu za mkononi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sugu afichua ulaghai wa Sitta

MBUGE wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ameeleza ulaghai alioutumia Samuel Sitta kupata ushindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba na kumfanya Andrew Chenge kujiondoa kwenye kinyang’anyiro...

 

5 years ago

Michuzi

UCHIMBAJI ENEO LA KINA CHA LANGO LA KUINGILIA MAJI KWENYE MITAMBO WAKAMILIKA KATIKA MRADI WA BWAWA LA KUFUA UMME LA MWALIMU NYERERE

UJENZI wa eneo la lango (Water Intake) la kuingilia maji kwenda kwenye mitambo ya kufua umeme katika Mradi wa Julius Nyerere (Mw 2115) unatarajiwa kukamilika Februari mwaka 2022.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Msimamizi wa Ujenzi wa njia za maji pamoja na bwawa kwenye mradi huo Mhandisi Dismas Mbote amesema utekelezaji wa njia hiyo ulianza Mwezi Oktoba 2019 na kuongeza kazi ya uchimbaji wa lango imekamilika kwa kuchimbwa kina cha mita 53 ambapo hivi sasa kazi inayoendelea ni uondoaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaghai wadaiwa katika soko la hisa Uchina

Huku bei ya hisa zikiimarika nchini Uchina, wasimamizi wa sekta za uchumi nchini humo wameanzisha uchunguzi kuhusiana na kile shirika la habari limetaja kuwa ulaghai katika soko la hisa.

 

11 years ago

Michuzi

FUN CITY YAJIPANGA KUTOA BURUDANI YA KIPEKEE KWA WATANZANIA PASAKA: YAFUNGA MITAMBO YA KISASA KWA AJILI YA MICHEZO YA KWENYE MAJI


Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN CITY Bw. Hasan Rizvi akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mashine za michezo mbali mbali itakayotolewa kipindi cha sikukuu ya Pasaka wakati wa mkutano alioufanya katika eneo la Fun City Kigamboni jijini Dar es Salaam. Pia aliongeza kuwa kwa sasa kampuni yake imeeongeza mitambo yenye uwezo wa kutengeneza mawimbi ya aina sita tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea. Mitambo ya kisasa iliyofungwa...

 

9 years ago

StarTV

Wamiliki Vituo Vya Watoto Yatima watahadharishwa kuepuka ulaghai  

 

Wamiliki wa Vituo vya kulelea watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu wametahadharishwa juu ya baadhi ya  vituo hivyo kutumika  kwa maslahi binafsi badala ya kutumika kuwasaidia watoto wenye uhitaji.

Tahadhari hiyo imekukuja huku serikali ikieleza kutowafumbia  macho wamiliki wote wa vituo hivyo  na wakibainika watachukuliwa hatua za kisheria.

Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa  jamii Mkoa wa Arusha  Blandina Nkini wakati wa utoaji wa tuzo za vituo bora vya malezi ya watoto...

 

10 years ago

GPL

SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!

NAFURAHI tena kukutana na nyinyi marafiki katika uwanja wetu huu wa kujidai. Kupitia safu hii tunapata wasaa wa kushauriana masuala mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano.Marafiki, leo nataka kuzungumza na nyinyi juu ya maendeleo ya teknolojia ya simu za ‘kutachi’. Simu hizi zimegeuka kuwa tatizo kubwa kutokana na wengi kuzitumia ndivyo sivyo. Imefika wakati simu inamteka mtu akili kiasi cha kusababisha maafa...

 

10 years ago

GPL

SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!-2

Sikukuu ya Krismasi ndiyo imekwisha, ni matumaini yangu kwamba kila mmoja wetu ameinjoi sikukuu hiyo. Kwa wale ambao imewakuta vibaya kwa namna moja au nyingine, niwape pole. Wasijisikie wanyonge, Mungu atawafanyia wepesi katika matatizo yao na watarudi katika hali ya kawaida. Kwa wale ambao wana tamaduni za kutoka na wapenzi wao, najua mtakuwa meitumia vyema nafasi hiyo kupanga mikakati mizuri ya penzi lenu kwa mwaka...

 

11 years ago

Habarileo

Minara ya simu kuondolewa kwenye makazi

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa kwenye makazi ya watu.

 

10 years ago

Michuzi

MICHUZI TV SASA KUPATIKANA KWENYE SIMU TV

Mpenzi wa Michuzi tv, sasa tunapatikana kwenye SIMU.tv. Kujiunga na SIMU.tv, ukiwa na simu au tablet ya Android, nenda kwenye Google playstore uandike SIMU.tv au bofya linki hii: https://play.google.com/store/apps/details?id=com.SIMU.tv . Utaweza kudownload BURE app ya SIMU.tv. Ukishadownload, nenda kwenye categories, ukifika hapo elekea kwenye TV channels na utakuta Michuzi TV kama inavyoonekana hapa chini. 
 Fuatilia Michuzi tv muda wowote na mahali popote ulipo kwenye SIMU.tv.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani