Mitambo ya kubaini ulaghai kwenye simu
SERIKALI imeweka mitambo ya aina tatu kukabili ulaghai na udanganyifu kwenye mawasiliano na miamala ya simu za mkononi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Sugu afichua ulaghai wa Sitta
MBUGE wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ameeleza ulaghai alioutumia Samuel Sitta kupata ushindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba na kumfanya Andrew Chenge kujiondoa kwenye kinyang’anyiro...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--wzAJGzfH7E/XtecBIAWgCI/AAAAAAALseM/3v2D9q4VKtEg8-sGXBT2Hs8phtZqgz_YgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
UCHIMBAJI ENEO LA KINA CHA LANGO LA KUINGILIA MAJI KWENYE MITAMBO WAKAMILIKA KATIKA MRADI WA BWAWA LA KUFUA UMME LA MWALIMU NYERERE
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Msimamizi wa Ujenzi wa njia za maji pamoja na bwawa kwenye mradi huo Mhandisi Dismas Mbote amesema utekelezaji wa njia hiyo ulianza Mwezi Oktoba 2019 na kuongeza kazi ya uchimbaji wa lango imekamilika kwa kuchimbwa kina cha mita 53 ambapo hivi sasa kazi inayoendelea ni uondoaji...
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Ulaghai wadaiwa katika soko la hisa Uchina
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s72-c/IMG_3966.jpg)
FUN CITY YAJIPANGA KUTOA BURUDANI YA KIPEKEE KWA WATANZANIA PASAKA: YAFUNGA MITAMBO YA KISASA KWA AJILI YA MICHEZO YA KWENYE MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s1600/IMG_3966.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rZ38zrB2J1s/U0_pzfy4BTI/AAAAAAAA5Bw/QpYsnXaALUc/s1600/IMG_3944.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vwf97KRUPFs/U1ADAcfCqpI/AAAAAAAA5DI/dAV2dcz7xp4/s1600/IMG_3849.jpg)
9 years ago
StarTV21 Nov
Wamiliki Vituo Vya Watoto Yatima watahadharishwa kuepuka ulaghai Â
Wamiliki wa Vituo vya kulelea watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu wametahadharishwa juu ya baadhi ya vituo hivyo kutumika kwa maslahi binafsi badala ya kutumika kuwasaidia watoto wenye uhitaji.
Tahadhari hiyo imekukuja huku serikali ikieleza kutowafumbia macho wamiliki wote wa vituo hivyo na wakibainika watachukuliwa hatua za kisheria.
Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa jamii Mkoa wa Arusha Blandina Nkini wakati wa utoaji wa tuzo za vituo bora vya malezi ya watoto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfa9F4fn-rofmQg1Png3pJhYJOk*AWrhjhvlqL9dYhebB56qXvDaL4jNBCNgdfWM*GIgr0YGAJ12WVahbsKq1BaZ/MAHABA.jpg)
SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLYRdHv951uwae3js5TJOjQM39c1pGZvRt6LGWpUqah95LTP8l4iaHe-l-tZ7SpeT1WZwHqe4NKVvrLZnUe0xq2K/snoop.jpg?width=650)
SIMU ZA KISASA NI HATARI KWENYE MAPENZI!-2
11 years ago
Habarileo04 Jul
Minara ya simu kuondolewa kwenye makazi
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limesema linaanza kupitia miradi mbalimbali, ikiwemo minara ya mawasiliano ya simu iliyojengwa kwenye makazi ya watu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-esP2BpfI6PI/VRUkAoSp9II/AAAAAAAHNl8/w0RPeZdM9n0/s72-c/unnamedm.png)
MICHUZI TV SASA KUPATIKANA KWENYE SIMU TV
![](http://1.bp.blogspot.com/-esP2BpfI6PI/VRUkAoSp9II/AAAAAAAHNl8/w0RPeZdM9n0/s1600/unnamedm.png)
Fuatilia Michuzi tv muda wowote na mahali popote ulipo kwenye SIMU.tv.