Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitumba: ‘Zawadi’ inayoua uchumi , kuathiri wengi

>Ukitembelea masoko mbalimbali  utayakuta yamesheheni bidhaa mbalimbali zikiwamo za kilimo na nyinginezo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHUMI: JK asikitika kuacha wengi wakiwa maskini

>Rais Jakaya Kikwete amesikitika kushindwa kukuza sekta ya kilimo hali iliyosababisha wananchi kuendelea kuwa maskini.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchumi wa Afrika wakua, lakini wengi wangali na njaa

Kila mwaka, Serikali, wanahabari, wataalamu wa maendeleo na wengineo husubiri kwa hamu kutolewa kwa Ripoti ya Ustawi wa Binadamu, inayotayarishwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo (UNDP).

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND KUMKABIDHI WEMA SEPETU ZAWADI YA GARI MBILI BMW NA NISSAN MORANO KAMA ZAWADI YA BIRTHDAY YAKE.


na hiki ndicho alichokisema mwanadada zamaradi kuhusiana na zawadi hiyo BIRTHDAY YA MWAKA!!!!!!!!! Hizi ndio zawadi kubwa alizopata WEMA leo.... NISSAN MURRANO na BMW moja kali hatari NYEUPE!!!! Asante mmanyema mwenzangu @diamondplatnumz umefunga watu midomo kudaadeki!!!! Hiyo nyeusi hapo ndio zawadi aliyotoa Diamond kwenda kwa @wemasepetu na zaidi alieleta Kukabidhi ni MAMA DIAMOND!!! how sweeeeeet..... haya sijui jipya lipi tena hapa la kuongea!!!
Utaniazimaga kamoja wema niwe nacruise...

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

9 years ago

Bongo5

Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch

Miongoni mwa vitu vinavyoikamilisha ‘package’ ya msanii mzuri ukiachilia mbali kipaji ni pamoja na nidhamu ya kazi, pamoja na watu wanaomzunguka msanii wakiwemo mashabiki. Producer T-Touch amesema kuwa msanii bila kuwa na nidhamu ni ngumu kufanya vizuri hata kama ana kipaji. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio producer huyo aliyefanya hits ikiwemo ‘Muziki Gani’ […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko ya tabianchi kuathiri umeme

MABADILIKO ya tabianchi yametajwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Gesi kuathiri soko la mafuta

Katibu Mkuu mstaafu wa Wizara ya Nishati na Madini kuanzia mwaka 1972 hadi 1974, Dk Ben Moshi amekiri kwamba ujio wa matumizi ya gesi katika huduma mbalimbali nchini, unaweza kuathiri kampuni nyingi za mafuta zinazofanya biashara nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Ujangili kuathiri ajira mil 3

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Adelhelm Meru ametahadharisha kuwa upo uwezekano wa ajira milioni 3.8 zikaathirika nchini kutokana na tishio la ongezeko la ujangili dhidi ya sekta ya utalii. Aidha, amesema matukio ya ujangili nchini ni moja ya sababu za kudhoofisha uchumi wa nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Bei ya mafuta kuathiri utafutaji wa gesi Tz

Anguko la bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia huenda likaifanya Serikali kupitia upya baadhi ya mikataba ya utafutaji wa mafuta na gesi ili kuwavutia wawekezaji wengi zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani