‘Miundombinu ya maji imechakaa’
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (Ewura), imesema uchakavu wa miundombinu na kukosekana kwa wataalamu wa kutosha, ni baadhi ya mambo yanayosababisha maeneo mengi ya nchi kukosa huduma za maji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s72-c/MAJI+1.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MAJI, YAZINDUA MWONGOZO WA UTENDAJI KWA MAMLAKA ZA MAJI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GO3kWBAoLmA/U331IVh4O8I/AAAAAAAFkds/QwC9hKd8MjM/s1600/MAJI+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WC6XwrZelSA/U331G3bkx9I/AAAAAAAFkdY/MC3Z_ucX-6M/s1600/MAJI+-2.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Bil. 1.8 zajenga miundombinu ya maji
SERIKALI imetumia sh. bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji katika Kijiji cha Kibirizi wilayani Bukoba.
Fedha hizo zimetumika kuchimba mitaro saba yenye urefu wa kilometa 84 na magati 110, tanki za kuhifadhia huku kazi iliyobaki kwa sasa ni kulaza mabomba na kujenga magati 15.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri, alisema bungeni jana kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha wakazi wa kijiji hicho wanapata maji safi na salama.
Alikuwa akijibu swali la...
10 years ago
Habarileo17 May
Miundombinu ya kutibu maji bado tatizo
SERIKALI imesema hali ya ubora wa maji si nzuri kwa sababu sio sehemu zote zina miundombinu ya kutibu maji.
10 years ago
VijimamboMWANRI: ZUIENI UBADHIRIFU WA MIUNDOMBINU YA MAJI
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.
Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa program ya maji...
10 years ago
MichuziSIMAMIENI IPASAVYO MIUNDOMBINU YA MAJI: MH. MWANRI
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.
Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s72-c/unnamedz.jpg)
DAWASCO YALIA NA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MAJI JIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s1600/unnamedz.jpg)
Vyuma Chakavu hivyo ambavyo ni mifuniko ya chemba za Majitaka za DAWASCO zimebainika baada ya uchunguzi wa kina na taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu upatikanaji wa mifuniko hiyo kiwandani hapo.
Afisa Uhusiano...
10 years ago
MichuziMh. Makalla akagua miundombinu ya maji jijini Mbeya
Mh. Makalla amevutiwa sana na utendaji kazi wa Mamlaka hiyo na kuupongeza kwa kuongeza idadi kuwa wateja wa maji kutoka 9000 mwaka 2002 na kufikia 40,000 hivi sasa na pia kuwa mamlaka ya tatu kitaifa kuwa na miundombinu ya majitaka.
Mh. Makalla ameiagiza Mamlaka hiyo kuhakikisha inadhibiti upotevu wa maji kutoka...
11 years ago
Michuzi12 Feb
TBL YAKABIDHI WODI YA WAZAZI NA MIUNDOMBINU YA MAJI ILIYOKARABATIWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA AMANA, ILALA
10 years ago
Dewji Blog17 Mar
Maadhimisho ya wiki ya maji mkoa wa Dar yazinduliwa rasmi,wananchi watakiwa kulinda na kutunza miundombinu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akitoa ufafanuzi kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Maji mkoani Dar es salaam.
Na Aron Msigwa, MAELEZO
Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Wiki ya maji kuanzia tarehe 16 hadi 22, Machi 2015 chini ya Kauli Mbiu isemayo Maji kwa Maendeleo Endelevu.
Maadhimisho ya mwaka huu yanatoa fursa kwa Mamlaka zinazohusika na usimamizi wa Maji nchini kutathmini huduma wanayoitoa kwa wananchi, kujenga na kuimarisha miundombinu iliyopo...