MKAKATI KABAMBE KUIMARISHA MAZINGIRA YA BIASHARA, UTALII MBIONI-TNBC
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamHatua thabiti za utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa Nane wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) zinatarajiwa kujulikana wiki chache zijazo.
Maazimio hayo yanalenga hasa kuimarisha mazingira ya biashara nchini na sekta ya utalii.
Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa TNBC, Bw. Raymond Mbilinyi (Pichani) alisema hatua za utekelezaji maazimio mbalimbali ya kuimarisha sekta hizo zitajulikana katika mkutano wa 9 wa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
TNBC yalipa somo Baraza la Biashara Manyara
WAJUMBE wa Baraza la Biashara la Mkoa wa Manyara wameshauriwa kuchapa kazi kwa bidii na kuongeza ushirikiano miongoni mwao, ili kusaidia kujenga mazingira bora ya biashara na uwekezaji mkoani hapa....
9 years ago
Dewji Blog03 Sep
Rais Kikwete afungua Mkutano wa Baraza la Biashara Tanzania (TNBC) Ikulu Jijini Dar es Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-Epryz2qI1Hs/VebyocKI7bI/AAAAAAAH104/dFknLxX7gGw/s640/TB1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WNZcxr-96Pc/VebzEvpGF7I/AAAAAAAH12M/Lq_eZUSkAFU/s640/TB2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Epryz2qI1Hs/VebyocKI7bI/AAAAAAAH104/dFknLxX7gGw/s72-c/TB1.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA BIASHARA TANZANIA (TNBC) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Epryz2qI1Hs/VebyocKI7bI/AAAAAAAH104/dFknLxX7gGw/s640/TB1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--Xqqu5WnIKc/Vebyol05zOI/AAAAAAAH108/p9WtjkjCqKc/s640/TB10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GqwSh_FhO8s/Vebzr9r_AYI/AAAAAAAH134/GgV9OglQxSQ/s640/TB31.jpg)
9 years ago
StarTV06 Jan
Serikali ya Zanzibar yaweka mpango mkakati Kuimarisha Huduma Za Afya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein amesema mpango mkakati wa Serikali ni kuimarisha huduma za afya na kuigeuza Hospitali kuu ya Mnazi mmoja kuwa ya rufaa kwa majengo na uimarishaji huduma, vifaa na watendaji wa kada hiyo.
Amesema wakati sasa umefika kwa wananchi wa Zanzibar kufaidika na huduma bora za afya kwa urahisi na gharama nafuu kila inapohitajika ili kwenda sambamba na malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 64 ya kuimarisha huduma za...
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Epryz2qI1Hs/VebyocKI7bI/AAAAAAAH104/dFknLxX7gGw/s640/TB1.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA BIASHARA TANZANIA (TNBC) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WNZcxr-96Pc/VebzEvpGF7I/AAAAAAAH12M/Lq_eZUSkAFU/s72-c/TB2.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA TANZANIA (TNBC) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-WNZcxr-96Pc/VebzEvpGF7I/AAAAAAAH12M/Lq_eZUSkAFU/s640/TB2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_aFQ29335d0/VebzaOxBXbI/AAAAAAAH13M/z0BFOPdA7C8/s640/TB26.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LRaX5r1am2w/XnnlmtwERvI/AAAAAAALk4U/5Je-dZSJmkUYaEAaTpKU7CZkmqvC8O8xwCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
JET ILIVYODHAMIRIA KUWEKA MKAKATI WAKE WA KUENDELEA KUWAONOA WAANDISHI WA HABARI ZA MAZINGIRA NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LRaX5r1am2w/XnnlmtwERvI/AAAAAAALk4U/5Je-dZSJmkUYaEAaTpKU7CZkmqvC8O8xwCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa JET John Chikomo(kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya JET Dk.Ellen Utaru Okoedion wakijadilana jambo wakati wa mafunzo hayo.
:Mwandishi Sidi Mgumia akitoa uzoefu wake katika masuala ya uandishi wa habari za mazingira na uhifadhi wakati wa semina...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s72-c/unnamed+(33).jpg)
semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nfFqy1kz60/Uw4j1HvmL-I/AAAAAAAFP3Q/lnXB4znmBEk/s1600/unnamed+(34).jpg)