MKAZI DAR AOMBA KUKUTANA NA WAZIRI WA AFYA BAADA YA KUDAI AMEGUNDUA DAWA YA KUTIBU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CePlOkFaGMY/XqsTnTKC1nI/AAAAAAALos0/vVjiz3rbHc0C-KLEnEp1H6E25bt666c6QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200430_112239.jpg)
Mkazi wa Chanika jijini Dar es Salaam Seleman Mwamsumbwe ambaye anadai kugundua dawa ya kutibu Corona(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo akiwa nyumbani kwake kuhusu dawa hiyo ambapo ameomba kukutana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ili kuzungumza naye kwa kina. Kulia ni dada wa Mwamsumbwe Ashura Mwinyimkuu.
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MKAZI wa Chanika jijini Dar es Salaam Seleman Mwamsumbwe ameomba kukutana na Waziri wa Afya, Maendeleo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Je dawa za malaria zinaweza kutibu corona pia
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya Corona: Dawa ya kutibu malaria ya hydroxychloroquine sio tiba ya corona
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona
10 years ago
Mwananchi26 Dec
TAHADHARI: Dawa za ‘kutibu meno bila kung’oa,’ zinaathiri afya
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Je ni dawa gani yenye matumaini zaidi kutibu corona?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AzEu-j8X3X0/XrmGd0rN-eI/AAAAAAALp0Y/8i97AJl7_WcCM9CwzXZHqfq4YFDomswZACLcBGAsYHQ/s72-c/B.png)
Mwingine aibuka Njombe adai kupata dawa ya kutibu Corona
Ikiwa Siku chache zimepita tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,John Pombe Magufuli kufungua milango kwa watafiti wakiwemo wataalamu wa tiba asilia kufanya uchunguzi ili kubaini dawa ya kutibu ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19),hatimae huko mkoani Njombe mtu mmoja ambaye ni mtaalamu wa tiba asilia na tiba mbadala anaefahamika kwa jina la Ally Mhagama maarufu Dr Sagasaga amekiri kufanya utafiti na...
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Hatari ya dawa ya hydroxychloroquine inayotumiwa na watu kutibu Covid -19
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Madaktari wataja mchanganyiko wa dawa unaoweza kutibu Covid-19
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Kwanini rais Trump ana imani na dawa ya Hydrochloroquine 'kutibu' virusi vya corona?