TAHADHARI: Dawa za ‘kutibu meno bila kung’oa,’ zinaathiri afya
Matatizo katika afya ya kinywa na meno yamekuwa changamoto kwa watu wengi si tu nchini bali sehemu mbalimbali ulimwenguni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CePlOkFaGMY/XqsTnTKC1nI/AAAAAAALos0/vVjiz3rbHc0C-KLEnEp1H6E25bt666c6QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200430_112239.jpg)
MKAZI DAR AOMBA KUKUTANA NA WAZIRI WA AFYA BAADA YA KUDAI AMEGUNDUA DAWA YA KUTIBU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CePlOkFaGMY/XqsTnTKC1nI/AAAAAAALos0/vVjiz3rbHc0C-KLEnEp1H6E25bt666c6QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200430_112239.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MKAZI wa Chanika jijini Dar es Salaam Seleman Mwamsumbwe ameomba kukutana na Waziri wa Afya, Maendeleo...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Ampicillin; Dawa za kutibu U.T.I (2)Usizitumie sanjari na dawa za kupanga uzazi
Mpendwa msomaji nakushukuru kwa kutenga muda wako kwa ajili ya kusoma safu hii. Katika makala yetu ya leo nitaendelea kutoa maelezo ya namna bora ya kutumia dawa za kutibu U.T.I. Kwa faida ya wasomaji wapya nitaelezeza tena kwa ufupi kuhusu ugonjwa wa U.T.I.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SSGieiaE-NM4FtoB0o6QB8R-zeG54Kzc3c8mKm9tj1uRGhFAmgLHi4ZRBkxXuV1H1Zo*NcQtNdgIw6oG1PXZlTuMiR2MWw-W/unnamed41.jpg?width=650)
TANZANIA KUTIBU MARADHI YA MOYO BILA KUFANYA UPASUAJI
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifanya kazi yao na kuelekezwa namna (Cath Lab) mtambo wa kufanya uchunguzi na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo na pia kuziba matundu ndani ya moyo bila kufungua kifua. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Prof. Jameel Alata ambaye ni Daktari Mwelekezi wa Magonjwa ya Watoto...
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Je ni dawa gani yenye matumaini zaidi kutibu corona?
Hakuna dawa iliyothibitishwa na wanasayansi kutibu ugonjwa huu, lakini juhudi za kutafuta chanjo zinaendelea kote duniani.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Dawa ya ZMapp yalazimishwa kuingia sokoni kutibu ebola
Watu wengi walikuwa hawaijui dawa hii iliyokuwa katika hatua za majaribio hadi pale wafanyakazi wawili wa mashirika ya afya ya kimataifa, raia wa Marekani walipoambukizwa ebola wakati wakiwasaidia waathirika wa ugonjwa huo katika nchi za Afrika Magharibi.
9 years ago
Habarileo03 Sep
Mwadui kung’ara bila wa kulipwa
KOCHA wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo, amesema timu yake italeta ushindani kwenye Ligi Kuu licha ya kutokuwa na wachezaji wa kigeni. Julio ambaye aliipandisha Mwadui kucheza ligi msimu huu alisema Tanzania hakuna wachezaji wa kigeni ambao wanatisha na kuzishangaa timu zinazowapapatikia.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AzEu-j8X3X0/XrmGd0rN-eI/AAAAAAALp0Y/8i97AJl7_WcCM9CwzXZHqfq4YFDomswZACLcBGAsYHQ/s72-c/B.png)
Mwingine aibuka Njombe adai kupata dawa ya kutibu Corona
Na Amiri kilagalila,Michuzi TV-Njombe
Ikiwa Siku chache zimepita tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,John Pombe Magufuli kufungua milango kwa watafiti wakiwemo wataalamu wa tiba asilia kufanya uchunguzi ili kubaini dawa ya kutibu ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19),hatimae huko mkoani Njombe mtu mmoja ambaye ni mtaalamu wa tiba asilia na tiba mbadala anaefahamika kwa jina la Ally Mhagama maarufu Dr Sagasaga amekiri kufanya utafiti na...
Ikiwa Siku chache zimepita tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,John Pombe Magufuli kufungua milango kwa watafiti wakiwemo wataalamu wa tiba asilia kufanya uchunguzi ili kubaini dawa ya kutibu ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19),hatimae huko mkoani Njombe mtu mmoja ambaye ni mtaalamu wa tiba asilia na tiba mbadala anaefahamika kwa jina la Ally Mhagama maarufu Dr Sagasaga amekiri kufanya utafiti na...
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Hatari ya dawa ya hydroxychloroquine inayotumiwa na watu kutibu Covid -19
Shirika hilo limeonya kwamba utumiaji wa dawa ya chloroquine au hydroxychloroquine bila kufuata mwongozo kunaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo kuumwa kupita kiasi au kifo.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Madaktari wataja mchanganyiko wa dawa unaoweza kutibu Covid-19
Dkt John Wright kutoka Bradford Royal Infirmary (BRI) anaelezea baadhi ya majaribio yanayoendelea kwa ajili ya kupata tiba ya Covid-19, na mchanganyiko wa aina tatu za dawa ambazo zinaweza kuwa ufunguo wa tiba ya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania