Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKAZI WA IDODOMYA JAIL MAISHA

Tarehe 24/02/2015 katika Mahakama ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la YUSUPH CHATAMBALA, umri miaka 45, kabila Mchaga, Mkulima na mkazi wa Kijiji cha MAKUTUPA Kata ya Lupeta Wilayani Mpwapwa Mkoa wa Dodoma, amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la KUNAJISI mtoto wa miaka mine (4).Mwendesha Mashitaka wa Polisi katika Mahakama ya Wilaya ya Mpwapwa Mkaguzi Msaidizi wa Polisi GODWILL S. IKEMA (A/Insp) akisoma mashitaka Mahakamani alisema, Mtuhumiwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Mkazi wa OXFAM Tanzania Jane Foster atembelea kijiji cha Maisha Plus na kujionea kazi za ujasiriamali

Untitled

Wanakijiji wa Kijiji cha Maisha Plus ambao ni Vijana wa Maisha Plus pamoja na Mama shujaa wa Chakula wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Oxfam Tanzania Jane Foster ambaye hayupo.

Untitled 1

 Kutoka Kulia ni Mkurugenzi wa Oxfam Tanzania Jane Foster, Mkamiti Mgawe wa Oxfam na Babu kutoka kijiji cha Maisha Plus Rajabu Msumi  wakiongea na washiriki wa Maisha Plus na Mama Shujaa wa Chakula.

Untitled 2

Mkamiti Mgawe wa tatu kutoka kushoto akimtambulisha Malkia wa Kijiji cha Maisha Plus kwa Mkurugenzi wa Oxfam...

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAISHA YA MAREHEMU WILBARD KENTE DMV

Mchungaji Essie Cannon akiongoza ibada ya kumbukumbu na shukurani ya maisha ya marehemu Mr. Wilbard W. Kente aliyefariki February 1, 2015 Tanzania. Ibada ya kumbukumbu ilifanyika katika kanisa la Universal Holiness lililopo Washington, DC nchini Marekani.Deo Mosha akisoma wasifu wa marehemu Mr. Wilbard Kente katika ibada ya kumbukumbu na shukurani iliyofanyika siku ya Jumamosi March 21, 2015 Washington, DC nchini Marekani.Abba Genes akisoma somo.Jerminr Shelukindo akisoma somo.Henry Kente...

 

10 years ago

Bongo5

6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’

Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mchepuko wamponza mkazi Newala

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti mkoani hapa, likiwemo tukio la mwanaume mmoja kucharangwa mapanga kwa madai ya kukutwa akifanya mapenzi na mke wa mtu. Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Iringa wahamasishwa daftari la mkazi

WANANCHI mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la wakazi kwa lengo la kufanikisha upigaji kura katika chaguzi za serikali za mitaa na kuwezesha kupata kitambulisho cha uraia....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkazi Dar aungua moto

MKAZI wa Sinza ‘A’, Mariam Kabaka (32) ameungua baada ya chumba alichokuwa anaishi kuwaka moto. Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...

 

9 years ago

BBC

Pistorius 'must remain in jail'

Oscar Pistorius must remain in jail and not be transferred to house arrest after a decision to grant him parole was again delayed.

 

11 years ago

Daily News

Two sent to jail for beating villager


Two sent to jail for beating villager
Daily News
TWO out of nine accused persons who appeared for the first time yesterday before Nkasi District Court in Rukwa Region were sentenced to one year in jail each after they pleaded guilty. All nine people, residents of Ipanda Village in the district were charged ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani