Mke wa Rais wa Ujerumani Bi Daniela Schadt Afungua Skuli Mwera.
Jengo la Skuli ya Herrnhuter Academy School, ilioko katika Kijiji cha Mwera Wilaya ya Kati Unguja, iliofunguliwa na Mke wa Rais wa Ujerumani wakati wa ziara yake Zanzibar.Mke wa Rais wa Ujerumani Bi.Daniela Schadt na Waziri wa Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii Vijana na Wanawake Zanzibar Mhe Zainab Omar Mohammed, wakiwasili katika viwanja vya Skuli ya Herrnhuter Academy School, ilioko Mwera Wilaya ya Kati Unguja, kwa ajili ya ufunguzi wa skuli hiyo.Mke wa Rais wa Ujerumani Bi.Daniela Schadt,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke
FINAL_Press Release German First Lady Visit_03022015.docx by moblog
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt akisalimiana na maofisa wa Jeshi la Polisi wakati alipotembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Cha Temeke jana.
Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto kutoka Jeshi la Polisi Tanzania, DCP Adolphina Chialo akitoa ripoti ya dawati la jinsia na watoto tokea kuanzishwa kwake wakati mke wa rais wa Ujerumani Bi Daniella Schadt alipotembelea dawati la jinsia na...
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Mama Daniela Schadt aipongeza WAMA kwa kazi wanayoifanya ya kuwasomesha watoto wa kike ambao ni yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imepongezwa kwa kazi inayoifanya ya kuhakikisha watoto wa kike ambao ni yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi wanapata elimu sawa na watoto wengine.
Pongezi hizo zimetolewa leo na Mke wa Rais wa Shirikisho la Ujerumani Mama Daniela Schadt wakati akiongea na wafanyakazi wa WAMA alipozitembelea ofisi za Taasisi hizo zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mama Schadt ambaye ni Mke wa Rais...
10 years ago
MichuziFirst lady wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke leo.
10 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA MAONESHO YA MUZIKI NCHINI UJERUMANI.
10 years ago
MichuziDK.SHEIN ATENMBELA SKULI NA MAKUMBUSHO BERLIN UJERUMANI
10 years ago
VijimamboDk Shein atembelea Skuli na Makumbusho mjini Berlin, Ujerumani
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AFUNGUA SKULI TUMBE
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MIAKA 90 YA SKULI YA SEKONDARI BENBELLA
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF IDDI AFUNGUA RASMI SKULI YA SECONDARY YA FARAJA ZANZIBAR