Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya apata uteuzi katika Oscars

Lupita Nyong'o mwenye umri wa miaka 30 amepata uteuzi wa kuwa muigizaji msaidizi bora zaidi katika filamu '12 Years a Slave'

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mwalimu Mkenya katika kombe la dunia Brazil

Aden Marwa ameteuliwa kuwa miongoni mwa marefa watakaochezesha michuano ya kombe la dunia Beazil

 

10 years ago

Dewji Blog

Masahihisho katika taarifa ya Uteuzi wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai na Mkurugenzi wa Intelijensia katika Jeshi la Polisi

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani  Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).

Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Isaya J. Mngulu ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.

Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI KATIKA MAHAKAMA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt  Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi katika Mahakama kama ifuatavyo;

Rais amemteua Bi. Katarina Revocati kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania (Chief Registrar).  Kabla ya uteuzi huu,  Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani.


Rais pia  amemteua Ndugu John Rugalema Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani na kabla ya...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMATI KUU YA CCM YAFANYA UTEUZI KATIKA MAJIMBO YALIYOBAKIA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,Makao Makuu ya CCM,Ofisi Ndogo Lumumba.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

5 years ago

BBCSwahili

Bekele apata ushindi katika mbio za Vitality Big Half

Rekodi ya Mo Farah yapinduliwa na Bekele katika mbio za Vitality Big Half mjini London.

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MIKOA YA KATAVI LA RUKWA

 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Katavi, Mselem Said Abdallah (shati la kitenge) akizungumza machache wakati wa kumkaribisha, Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa, wakati alipofika kwenye ofisi za Chama hicho, Mpanda, Mkoani Katavi leo Juni 14, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI. Baadhi ya wananchi wa Mji wa Mpanda wakionekana ni wenye furaha nyingi pindi walipomuona Mh. Edward Lowassa akipita kwenye maeneo yao wakati akielekea...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO KATIKA MIKOA YA KATAVI, RUKWA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa akiwapungia wananchi wa mji wa Mpanda, Mkoani Katavi waliojitokeza kumlaki, wakati alipofika kwenye Ofisi za CCM Wilaya ya Mpanda, Mkoani Katavi, alikofika jana Juni 14, 2015 kwa ajili ya kutafuta udhamini wa wanaCCM ili apate ridhaa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania Urais wa Tanzania, kwenye Uchachuzi Mkuu, Unaotarajiwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa Iran apata agizo la jaji kushiriki katika soka

Mwanamke mmoja ambaye ni nyota wa soka nchini Iran amefanikiwa kushiriki katika mchuano mmoja ughaibuni baada ya jaji kuzuia juhudi za mumewe za kumtaka kutosafiri.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGUFULI APATA WADHAMINI WENGI KATIKA WILAYANI KONGWA, DODOMA


 Mchakato wa Udhamini ukiendelea katika kijiji cha Sagara Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma. Dkt. Magufuli akiagana na Wanachama wa CCM katika Kijiji cha Sagara waliojitokeza kumdhamini katika harakati za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea Urais kupitia Tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao.

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mkoani Geita Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kulia  akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini kutoka Kijiji cha Sagara Wilayani Kongwa waliojitokeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani