Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkono asimulia alivyonusurika kifo London

Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ambaye hivi karibuni alinusurika kifo akidaiwa kulishwa sumu akiwa London, Uingereza amesimulia jinsi tukio hilo lilivyomkuta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MZEE MAJUTO ASIMULIA ALIVYONUSURIKA

Gladness Mallya BAADA ya kutokea vifo vya mahujaji zaidi ya mia saba waliokuwa wakishiriki Hija karibu na mji mtakatifu wa Waislam wa Makka, staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto au King Majuto’ amesimulia alivyonusurika kwenye tukio hilo la kukanyagana. Staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto au King Majuto’ akiwa na mahujaji wenzie. Akizungumza na gazeti hili mke wa Mzee Majuto, Aisha alisema...

 

9 years ago

Bongo5

G-Lover asimulia alivyonusurika kuuawa Zanzibar

DJ na mmiliki wa studio za G Records, G-Lover amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana visiwani Zanzibar anakoishi. Kupitia ukurasa wake Facebook DJ huyo ameandika: Warning warning…ndugu zangu wa Zanzibar tunaoishi hapa watanzania wenzangu kwa ujumla na wageni mnaokuja huku naomba tuwe makini sana sana na hali ya usalama wetu ilivyo […]

 

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

RAY C ASIMULIA ALIVYOKICHUNGULIA KIFO

Stori: MUSA MATEJA
MUNGU mkubwa! Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesimulia jinsi alivyochungulia kifo baada ya kutikiswa na ugonjwa hatari na tishio ulioibuka hivi karibuni wa Homa ya Dengue. Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, akiwa kwenye red carpet ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards. Akifunguka mbele ya gazeti hili juzi baada ya...

 

9 years ago

GPL

KADA CCM ASIMULIA ALIVYONUSA KIFO!

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mjumbe wa UVCCM-Mkoa wa Morogoro, Hery Francis Hoza akiugulia. Makongoro Oging’ na Issa Mnaly AJALI! Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mjumbe wa UVCCM-Mkoa wa Morogoro, Hery Francis Hoza ,32, (pichani) amepata ajali mbaya katikati ya wiki iliyopita na kunusurika kifo. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Kibaha mkoani Pwani ambapo kada huyo alikuwa akitoka Morogoro kuelekea Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyemuona Mandela dakika 90 kabla ya kifo asimulia

DAKIKA za mwisho za maisha yake, Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, hakuwa akitumia mashine ya kumsaidia kupumua.

 

10 years ago

Vijimambo

Bwana harusi asimulia walivyonusa kifo ajali ya mtumbwi

Bwana harusi, Ramadhani Hamisi (30), aliyenusurika kifo baada ya mtumbwi kuzama katika Ziwa Tanganyika na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine 11 kujeruhiwa, ameibuka na kusimulia jinsi alivyochungulia kaburi.

Akizungumza na NIPASHE katika mahojiano maalum jana, Hamis alisema baada ya kuona mtumbwi ukizama, alimrukia mkewe na kumshika mkono na kisha kuanza kuogelea naye hadi nchi kavu na hivyo kunusurika kifo.

Kutokana na hali hiyo, anasema anamshukuru Mungu kwa yeye na mkewe, Mariamu (24),...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkono alishwa sumu London

>Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono amelishwa sumu wakati akiwa kwenye safari ya kikazi jijini London nchini Uingereza, imeelezwa.

 

10 years ago

TheCitizen

Conspiracy theories fly after Mkono poisoned in London

>Musoma Rural MP Nimrod Mkono was poisoned while he was on a parliamentary trip to London, The Citizen has learnt.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani