Mkono asimulia alivyonusurika kifo London
Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ambaye hivi karibuni alinusurika kifo akidaiwa kulishwa sumu akiwa London, Uingereza amesimulia jinsi tukio hilo lilivyomkuta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFW29as1MN1fUZDtVmEA-aJDHbIPosQqBoANWKwI9oqq10QIvbteGTA*t3w5sXnGv-rJNVjGBsKXeARWQCn3GC*3/makka.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO ASIMULIA ALIVYONUSURIKA
Gladness Mallya BAADA ya kutokea vifo vya mahujaji zaidi ya mia saba waliokuwa wakishiriki Hija karibu na mji mtakatifu wa Waislam wa Makka, staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto au King Majuto’ amesimulia alivyonusurika kwenye tukio hilo la kukanyagana. Staa wa filamu za Kibongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto au King Majuto’ akiwa na mahujaji wenzie. Akizungumza na gazeti hili mke wa Mzee Majuto, Aisha alisema...
9 years ago
Bongo502 Oct
G-Lover asimulia alivyonusurika kuuawa Zanzibar
DJ na mmiliki wa studio za G Records, G-Lover amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana visiwani Zanzibar anakoishi. Kupitia ukurasa wake Facebook DJ huyo ameandika: Warning warning…ndugu zangu wa Zanzibar tunaoishi hapa watanzania wenzangu kwa ujumla na wageni mnaokuja huku naomba tuwe makini sana sana na hali ya usalama wetu ilivyo […]
10 years ago
GPL27 Aug
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbKlukC8KCja7vavcz605Z9xlzF*toIc51-gJl2Vt4N3pg4VzuFs-gDy72ZbcFbjtkA2pDIRITgZHR2NvmH3kN-r/RayC.jpg?width=650)
RAY C ASIMULIA ALIVYOKICHUNGULIA KIFO
Stori: MUSA MATEJA
MUNGU mkubwa! Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesimulia jinsi alivyochungulia kifo baada ya kutikiswa na ugonjwa hatari na tishio ulioibuka hivi karibuni wa Homa ya Dengue. Staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’, akiwa kwenye red carpet ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards. Akifunguka mbele ya gazeti hili juzi baada ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kada.jpg)
KADA CCM ASIMULIA ALIVYONUSA KIFO!
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mjumbe wa UVCCM-Mkoa wa Morogoro, Hery Francis Hoza akiugulia. Makongoro Oging’ na Issa Mnaly AJALI! Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mjumbe wa UVCCM-Mkoa wa Morogoro, Hery Francis Hoza ,32, (pichani) amepata ajali mbaya katikati ya wiki iliyopita na kunusurika kifo. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Kibaha mkoani Pwani ambapo kada huyo alikuwa akitoka Morogoro kuelekea Dar es...
11 years ago
Habarileo10 Dec
Aliyemuona Mandela dakika 90 kabla ya kifo asimulia
DAKIKA za mwisho za maisha yake, Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, hakuwa akitumia mashine ya kumsaidia kupumua.
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Bwana harusi asimulia walivyonusa kifo ajali ya mtumbwi
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/UOKOJI.jpg)
Akizungumza na NIPASHE katika mahojiano maalum jana, Hamis alisema baada ya kuona mtumbwi ukizama, alimrukia mkewe na kumshika mkono na kisha kuanza kuogelea naye hadi nchi kavu na hivyo kunusurika kifo.
Kutokana na hali hiyo, anasema anamshukuru Mungu kwa yeye na mkewe, Mariamu (24),...
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Mkono alishwa sumu London
>Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono amelishwa sumu wakati akiwa kwenye safari ya kikazi jijini London nchini Uingereza, imeelezwa.
10 years ago
TheCitizen21 Nov
Conspiracy theories fly after Mkono poisoned in London
>Musoma Rural MP Nimrod Mkono was poisoned while he was on a parliamentary trip to London, The Citizen has learnt.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania