Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkono bandia ulio na hisia wavumbuliwa

Uvumbuzi wa mkono bandia umerejesha hisia za wagonjwa wawili kuweza kugusa baada ya mwaka mmoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mguu bandia wenye hisia wazinduliwa

Watafiti katika chuo kikuu nchini Austria wamevumbua mguu bandia wa kwanza duniani wenye hisia halisi za binadamu.

 

9 years ago

Mwananchi

Mtoto wa kwanza mwenye albinism, awekwa mkono wa bandia Marekani

Kabula Nkarango Masanja (17) mwenye ulemavu wa ngozi, amerejea Tanzania akiwa na mkono wa bandia, baada ya mkono wake kukakatwa kutokana na imani za kishirikina.

 

10 years ago

CloudsFM

KIFUA KIKUU NI UGONJWA ULIO GUNDULIKA UNAUA WATU ZAIDI YA MILIONI 1 DUNIANI

Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania.Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa takwimu za shirika hilo, kwa dunia nzima mwaka 2012 watu milioni 8.6 waliambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu, na watu...

 

10 years ago

Michuzi

MENEJIMENTI YA MUHIMBILI YANOLEWA KUHUSU JINSI YA KUSIMAMIA TATHIMINI YA UTENDAJI ULIO WAZI (OPRAS)

Viongozi wanaounda Menejimenti ya Hospitali ya Taifa Muhimbili wametakiwa kusimamia vizuri tathimini ya utendaji ulio wa wazi kwa wafanyakazi walioko chini ya Kurugenzi, Idara na Vitengo wanavyoviongoza ili kuleta tija mahali pa kazi. Hayo yamesemwa leo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto wakati alipokuwa akizindua semina ya siku nne kwa viongozi hawa iliyoanza leo, jijini Dar Es Salaam ambapo mada kuu ni jinsi ya kusimamia vizuri tathimini ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA

Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWAVijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.KUNDI la vijana la 4U Movement, lililokuwa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani