Mkopo kuimarisha shilingi ya Tanzania
Serikali ya Tanzania inatarajia kukopa kiasi cha dola milioni mia nane za Kimarekani kutoka taasisi mbili za kifedha za kigeni ili kuimarisha shilingi ya Tanzania ambayo inaendelea kudorora.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBenki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14
Serikali ya Tanzania na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesaini mikataba mitano ya mkopo wa masharti nafuu ya Dola za Marekani milioni 495.59 ambayo ni sawa na TZS trilioni 1.14 zitakazowezesha kutekeleza ujenzi wa miradi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma, Dola za Marekani milioni 271.63, ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Holoholo-Lungalunga–Malindi km.120.8 kwa gharama ya Dola za Marekani milioni 168.76 na Dola 55.2 kwa ajili ya Programu ya utawala bora na kuendeleza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NoGXrnqnwOU/U96q3pm45qI/AAAAAAAF8qw/td_Qnx5ws-s/s72-c/photo1.jpg)
NBC yatoa mkopo wa mabilioni ya shilingi kwa Mohamed Enterprises
![](http://4.bp.blogspot.com/-NoGXrnqnwOU/U96q3pm45qI/AAAAAAAF8qw/td_Qnx5ws-s/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-40nATwqmZdM/U96q3KqPK5I/AAAAAAAF8qk/i9rwTJG9d58/s1600/photo3.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
NMB YATOA MKOPO WA SHILINGI BIL. 3 KWA WAKULIMA WA MUHOGO HANDENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (wa pili kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 3, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe maalumu kwa ajili ya vikundi vya wakulima na wasindikaji wa zao la muhogo wilayani Handeni, mkoani Tanga. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justin (wa pili kushoto), Mwenyekiti wa Wakulima wa zao hilo nchini, Mwantum Mahiza, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Benki ya NMB yatoa mkopo wa Shilingi bilioni 3 kwa wakulima wa muhogo Handeni
![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Bongo518 Aug
Mohammed Dewji achukua mkopo wa shilingi bilioni 434 kukuza himaya yake!!
Mfanyabiashara na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed ‘Mo’ Dewji amechukua mkopo wa dola milioni 260 (zaidi ya shilingi bilioni 434) kutoka kwa benki mbalimbali kuimarisha kampuni yake ya METL. Wiki mbili zilizopita, kampuni yake ya Star Oils Limited ambayo ni sehemu ya METL Group ilipokea mkopo wa dola milioni 60 kutoka kwa benki ya NBC, Barclays […]
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5pJv_gxChfU/VMHxbJ5PVsI/AAAAAAAG_Hw/QogYBitrxx0/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Vijana Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Mkoa wa Mbeya wafaidika na Mkopo wa shilingi milioni 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-5pJv_gxChfU/VMHxbJ5PVsI/AAAAAAAG_Hw/QogYBitrxx0/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oGfDWyblI54/VMHxbZH__zI/AAAAAAAG_H0/QBe6AH8-gZI/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Habarileo30 Apr
Serikali yatangaza mikakati ya kuimarisha shilingi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum amesema kupatikana kwa mikopo ya kibiashara yenye thamani ya dola za Marekani milioni 500 zitasaidia kupunguza kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-BtBmOib8YxQ/VUHu1WppvaI/AAAAAAAAP5M/_HTNTcqejmA/s1600/picha%2B3.jpg)
LAPF WATOA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 100 KWA SACCOS YA WALIMU WILAYANI RUANGWA, LINDI
Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Kanda ya Mashariki, Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Nicholous Kombe, mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi millioni 100 ikiwa ni mkopo uliotolewa na mfuko huo kwa wanachama wa SACCOS ya waalimu wilayani Ruangwa..Hafla hiyo ilifanyika Wiyani Ruangwa hivi karibuni. Wanachama wa Walimu Saccos wa Wilaya ya Ruangwa mkoani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BXj2nIAcYKI/XtejlBGtJYI/AAAAAAALsfc/1a0wQ1YR96AsLEbzgHGWP9iNddIKskqrgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B3.56.21%2BPM.jpeg)
BENKI YA DUNIA YATOA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 175,KULETA MAPINDUZI KATIKA ELIMU YA UFUNDI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BXj2nIAcYKI/XtejlBGtJYI/AAAAAAALsfc/1a0wQ1YR96AsLEbzgHGWP9iNddIKskqrgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B3.56.21%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--kvRgJddjuM/Xtejn-Si4MI/AAAAAAALsfg/Nw8tSjtHGFE32jEDwSJVgh1m5LFm5gj0QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B3.56.22%2BPM.jpeg)
Waziri Ndalichako ameyasema hayo leo Juni 3, 2020 jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi magari manne kwa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania