MKUTANO MKUBWA WA KIMATAIFA WA TAASISI YA USAFIRISHAJI NA UCHUKUZI TANZANIA (CILT) KUFANYIKA MACHI, 3 JIJINI ARUSHAâ€
Balozi wa Heshima wa Taasisi ya Kimataifa ya Usafirishaji na Uchukuzi Tanzania (CILT), Waziri wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe (kulia), akizungumza katika mkutano wa maandalizi ya kukusanya fedha kwa ajili ya mkutano wa kimataifa utakaofanyika jijini Arusha kuanzia Machi 4 hadi 5 ulioandaliwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kuwajengea weredi wadau wa usafirishaji kutoka nchi mbalimbali duniani.
Mwenyekiti wa CILT, George Makuke (kushoto), akizungumza katika mkutano huo....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMKUTANO MKUBWA WA KIMATAIFA WA TAASISI YA USAFIRISHAJI NA UCHUKUZI TANZANIA (CILT) KUFANYIKA MACHI, 3 JIJINI ARUSHA
10 years ago
Michuzi26 Jun
MKUTANO MKUBWA WA AMANI NA UPENDO KUFANYIKA LEO JIJINI ARUSHA
![SAM_3390](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/NkTjsBxT8jET8BwqGmXPRPSN59C6Pm7nqbUHMyw8NqWLfmD8CsnfNV-yKkfzjdzsw8eSnFFUvaxo7rDbo3g-j7w3M3VVaN_UV2o35GskGOXvJ54=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/06/sam_3390.jpg)
![SAM_3402](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/DQUdPVNiIUOO2KizcUVf7ElPfovBg8YGjZgySN7akwtv0dQyd5KyhDBbnaThRIS4GErLuv6-3kElkiiOPjlabgl2TjfvhdX6ypUpOKC3s3jPvSo=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/06/sam_3402.jpg)
![SAM_3404](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/t2N1Fk3Ycxh0U8EeryNK4VoeGyrn1odJAxFGWIP4yIs-CCNBjnz4jXGe8rvX2zo3EGDmfOPoCFLWasGyO9mMbV24bLYLYvTFBr-qenhJpiBprQc=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/06/sam_3404.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gc1eMcwTRSw/U2Nb54ZnPLI/AAAAAAAFe3I/tOs9qpcOP6c/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJJAP3s2WWBLAFucOQfLHpht*NuibuDKJUlII5jGuJry5QrMdO3VzukAFXQsIv4ykP1SXDNrBsJ7sIx5AonKFXgG/ACT.jpg)
UZINDUZI WA ACT NA MKUTANO MKUU KUFANYIKA MACHI 28 NA 29
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-reqLNMAe2ek/VGINwMa4acI/AAAAAAAGwk0/enT_-KZRQxM/s72-c/image.jpeg)
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA MAJAJI WA MAHAKAMA TANZANIA WAENDELEA KUFANYIKA JIJINI MWANZA
Mkutano huo ulifunguliwa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Dr.Asha Rose Migiro kwa niaba ya Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kauli Mbiu ya Mkutano wa Mwaka huu ni "KUJITATHMINI KAMA NJIA BORA YA KUIBORESHA MAHAKAMA".Pamoja na mambo mengine Mkutano wa Mwaka huu Wah. Majaji wamepata nafasi ya kujadili mambo...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO ATEMBELEA OFISI ZA ILIYOKUWA WIZARA YA UCHUKUZI NA KUONGEA NA MENEJIMENTI NA WAKUU WA TAASISI LEO ASUBUHI
10 years ago
Habarileo28 Jan
Taasisi yaandaa mkutano wa kimataifa wa maendeleo
TAASISI ya Kimataifa inayojishughulisha na Usafirishaji, Uchukuzi na Uhudumiaji wa Bidhaa (CILT Africa) imeandaa Mkutano wa Kimataifa utakaowashirikisha wadau kutoka mataifa mbalimbali duniani utakaojadili masuala mbalimbali ya maendeleo na kufanyika jijini Arusha.