Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa kampeni za CUF Fumba, jimbo la Dimani

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wafuasi wa Chama hicho katika viwanja vya Fumba Kids, jimbo la Dimani.Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha mgombea Uwakilishi wa jimbo la Dimani kupitia chama hicho Bw. Mohamed Hashim Ismail, katika mkutano uliofanyika viwanja vya Fumba Kids.Wafuasi wa CUF wakifuatilia hotuba na mgombea urais wa Chama hicho katika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa kampeni CUF jimbo la Mfenesini/Mwakaje

The post Mkutano wa kampeni CUF jimbo la Mfenesini/Mwakaje appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif alitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kujua waliochoma moto ofisi ya CUF jimbo la Dimani

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amelitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kuwajua watu waliohusika kuchoma moto ofisi za chama hicho jimbo la Dimani na baadaye wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.
Maalim Seif amesema hayo wakati alipotembelea ofisi hizo zilizoteketezwa kabisa kwa moto, tukio lililofanywa na watu wasiojuilikana juzi usiku, huko katika eneo la Kisauni Wilaya ya Magharibi Unguja.
Katibu Mkuu wa CUF amesema tukio hilo ni la kusikitisha...

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Kampeni wa CUF Micheweni

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia katika mkutano wa hadhara wa Chama hicho uliofanyika viwanja vya skuli ya Micheweni.Wafuasi na wapenzi wa CUF wakimsikiliza mgombea Urais wa Chama hicho Mhe. Maalim Seif Sharif katika viwanja vya skuli ya Micheweni.

 

9 years ago

Vijimambo

Uzinduzi wa Kampeni za CUF jimbo la Malindi uliofanyika Mfenesi Mazizi

Wagombea wa CUF jimbo la Malindi wakiwa katika Meza kuu wakati wa uzinduzi wa Kampeni za kuwania jimbo hili. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CUF jimbo la Malindi, Ali Saleh akijinadi hapo Mfenesi mazizi .
Wafuasi na wapenzi wa CUF waliohudhuria mkutano wa kampeni kwa jimbo la Malindi Mfenesi Mazizi

Wafuasi na wapenzi wa CUF waliohudhuria mkutano wa kampeni kwa jimbo la Malindi Mfenesi Mazizi



Hatimaye leo ‪‎CUF‬ Jimbo la ‪Malindi‬ imezindua kampeni huko Mfenesi Mazizi kwa kishindo...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA CUF KESHO JUMAPILI JIMBO LA KITOPE

The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) kinawatangazia na kuwaalika wazanzibari wote kushiriki katika Mkutano wa hadhara wa aina yake, ulioandaliwa na Chama hicho siku ya Jumapili, tarehe12/04/2015.
Mkutano huo utafanyika katika Jimbo la Kitope, kiwanja cha Kitope Kipandoni kuanzia saa nane mchana hadi saa kumi na mbili jioni(8:00-12:00) na kuhutubiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
Tukumbuke kwamba Jumapili ya tarehe 12/04/2015 ni siku maalum, katika...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Video:Mkutano wa kampeni za CUF Mpendae

The post Video:Mkutano wa kampeni za CUF Mpendae appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa kampeni CUF Ziwani/Ole 16/09/15

The post Mkutano wa kampeni CUF Ziwani/Ole 16/09/15 appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa kampeni CUF Malindi/Mfenesi Mazizi 17/09/15

The post Mkutano wa kampeni CUF Malindi/Mfenesi Mazizi 17/09/15 appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani