MKUTANO WA CUF KESHO JUMAPILI JIMBO LA KITOPE
The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) kinawatangazia na kuwaalika wazanzibari wote kushiriki katika Mkutano wa hadhara wa aina yake, ulioandaliwa na Chama hicho siku ya Jumapili, tarehe12/04/2015.
Mkutano huo utafanyika katika Jimbo la Kitope, kiwanja cha Kitope Kipandoni kuanzia saa nane mchana hadi saa kumi na mbili jioni(8:00-12:00) na kuhutubiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
Tukumbuke kwamba Jumapili ya tarehe 12/04/2015 ni siku maalum, katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMkutano wa kampeni za CUF Fumba, jimbo la Dimani
10 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Oct
Mkutano wa kampeni CUF jimbo la Mfenesini/Mwakaje
The post Mkutano wa kampeni CUF jimbo la Mfenesini/Mwakaje appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboMAALIMU SEIF AUNGURUMA JIMBO LA KITOPE


10 years ago
Vijimambo
MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI TANGA.

10 years ago
Michuzi
MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI HAPA.

11 years ago
Michuzi
CHAMA CHA CUF KUFANYA MKUTANO WA TAIFA KESHO,YAWATAKA WAJUMBE WAKE WATAKAOKOSA NAFASI YA UONGOZI WASIBABAIKE

10 years ago
Michuzi
PROPHET SHEPHERD BUSHIRI MINISTRIES: mkutano mkubwa wa Injili kunzia kesho hadi Jumapili kanisa la ECG karibu na chuo cha ardhi Dar es salaam
10 years ago
Michuzi.jpg)
Jimbo la Kitope kuhakikisha huduma za maji safi na salama inapatikana katika kijiji cha Muembe Majogoo
11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKABIDHI VIFAA MBALI MBALI VYA UJENZI KATIKA JIMBO LA KITOPE
Tahadhari hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi wakati akikabidhi vifaa mbali mbali vya uwezekaji wa majengo ya Maabara na Maktaba ya Skuli ya Sekondari ya Fujoni iliyomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “ B”.
Balozi Seif ambae pia ni...