CHAMA CHA CUF KUFANYA MKUTANO WA TAIFA KESHO,YAWATAKA WAJUMBE WAKE WATAKAOKOSA NAFASI YA UONGOZI WASIBABAIKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-o7wAZVv9cn4/U6cQ0pVKHlI/AAAAAAAFsSY/mLfzrRQJBT4/s72-c/seif-sharif.jpg)
Na: Hassan Hamad, OMKR.
Wakati Chama Cha Wananchi CUF kikiingia katika uchaguzi Mkuu Taifa kuanzia kesho tarehe 23/06/2014, Viongozi wakuu wa Chama hicho wamewataka wajumbe watakaokosa nafasi za uongozi kutobabaika, na badala yake waendelee kukijenga chama hicho.
Akizungumza katika hafla maalum ya kuagana na wajumbe wa Baraza Kuu pamoja na watendaji wengine wa ngazi mbali mbali, Katibu Mkuu wa Chama hicho Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kila mwanachama ana wajibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA KUWANIA NAFASI YA KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF
![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JlF5HB_U_gY/U3_R-3wEE4I/AAAAAAAFksI/0YXGvznddmc/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-boB3ySG_qXs/U3_R_Oqet_I/AAAAAAAFksE/dguPD8w66Ow/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
GPLCHAMA CHA WAKANDARASI KUFANYA UCHAGUZI MPYA KESHO
10 years ago
MichuziUJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s72-c/MMGL0172.jpg)
LOWASSA AHUDHULIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF, JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s640/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kKf-PsMDlTY/VcdcDdYkU1I/AAAAAAAHvfA/w4xY93s99zw/s640/MMGL0373.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi CUF wakutana
![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iyLef7AMZ6g/U7ACcbfIA9I/AAAAAAAFtbE/vIStBPcQ8BQ/s1600/unnamed+(4).jpg)
11 years ago
Mwananchi04 May
CUF Taifa yafungua milango ya uongozi
10 years ago
Vijimambo11 Apr
MKUTANO WA CUF KESHO JUMAPILI JIMBO LA KITOPE
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/8/83/Civic_United_Front_Flag.jpg/200px-Civic_United_Front_Flag.jpg)
Mkutano huo utafanyika katika Jimbo la Kitope, kiwanja cha Kitope Kipandoni kuanzia saa nane mchana hadi saa kumi na mbili jioni(8:00-12:00) na kuhutubiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
Tukumbuke kwamba Jumapili ya tarehe 12/04/2015 ni siku maalum, katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KJ4LtC7HGRM/U2UbOyoL98I/AAAAAAAFfNg/dCLpUwFZLHY/s72-c/unnamed+(52).jpg)
Baraza Kuu la Uongozi CUF Taifa lakutana jijini dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-KJ4LtC7HGRM/U2UbOyoL98I/AAAAAAAFfNg/dCLpUwFZLHY/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--b25PwpQIQc/U2UbO2GbGzI/AAAAAAAFfNo/QTawZ0Rg_dc/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H5UuuQ1WPaA/U2UbOyo0A3I/AAAAAAAFfNk/o0te3UwsXS8/s1600/unnamed+(54).jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.