MKUTANO WA KINANA KATORO, GEITA WAVUNJA REKODI YA WATU
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Mji Mdogo wa Katoro, wakati wa ziara Jimbo la Busanda, wilayani Geita, Mkoa wa Geita, ambapo aliwaahidi wachimbaji wadogo wadogo kulitafutia ufumbuzi wa kuwapatia vitalu vya machimbo eneo la Nyarugusu linalomilikiwa na Stamico, wilayani Geita.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, yupo mkoani Geita kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s72-c/2.jpg)
KINANA AHUTUBIA MKUTANO WA KIHISTORIA KATORO MKOANI GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-84V2SnChXNw/VYQ8WMezKNI/AAAAAAAAe4E/CM2tkcBuLr0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6UfbDRRVZ3E/VYQ8ZQvA_EI/AAAAAAAAe4Q/wnjuWpFjG-k/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-OtEW8xJXnc/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AUNGURUMA WILAYANI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO MKOANI GEITA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1HrQ5hJufBY/VYRiiygHzrI/AAAAAAAC7GA/ZE3DaVO9VXU/s640/10.jpg)
Ndugu Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, yupo mkoani Geita kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mOWvhk3YMqs/VXrW33zJH4I/AAAAAAAAWgo/C4As3KVGmKU/s72-c/RVP2.jpg)
MAKAMBA AITIKISA RUVUMA, UDHAMINI WA WATU 3550 WAVUNJA REKODI
![](http://4.bp.blogspot.com/-mOWvhk3YMqs/VXrW33zJH4I/AAAAAAAAWgo/C4As3KVGmKU/s640/RVP2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3VMabX82fMc/VXrW37qpEzI/AAAAAAAAWgg/0IX86Ijse6M/s640/RVP3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KTDoCBSyF4E/VXrW4a9HMPI/AAAAAAAAWgk/S8ZKXr7RPNg/s640/RVP4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TJgvyQzKTbs/VXrqq-ocsGI/AAAAAAADUfQ/-VBEUe0WFbQ/s72-c/RVP2.jpg)
JANUARY MAKAMBA AITIKISA RUVUMA,APATA UDHAMINI WA WATU 3550 WAVUNJA REKODI
![](http://3.bp.blogspot.com/-TJgvyQzKTbs/VXrqq-ocsGI/AAAAAAADUfQ/-VBEUe0WFbQ/s640/RVP2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-So9xSBKFEAg/VXrqp0WlZLI/AAAAAAADUfE/Cr44xss4Yh8/s640/RVP1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-260GIUdtS1Y/VXrqvmn-1eI/AAAAAAADUfs/v_-3zlCWz6Y/s640/RVP6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yxvnU2d8CAs/VXrqwdOZslI/AAAAAAADUfw/uTs5l9rtq2k/s640/RVP7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hE-UP_5ERCk/VXrqyqO_igI/AAAAAAADUgE/O1iqyUbAV_w/s640/RVP8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vK4RWiLtcl8/VXrqqXT0cXI/AAAAAAADUfM/q5DtKOY5j_Q/s640/RVP3.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Jun
Wagombea CCM wavunja rekodi
IDADI ya wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuongezeka na jana wagombea wengine sita walichukua fomu na kufanya idadi ya watu wanaowania kumrithi Rais Jakaya Kikwete kufikia 10.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Gangnam wavunja rekodi ya YouTube
10 years ago
Mtanzania30 May
Wagombea urais wavunja rekodi
NA MWANDISHI WETU
IDADI ya makada wanaotajwa kujitosa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) sasa inaweza kufikia 30, baada ya wengine wengi kutarajia kujitokeza kuanzia wiki ijayo, MTANZANIA Jumamosi limedokezwa.
Taarifa zilizolifikia gazeti hili kutoka katika vyanzo mbalimbali vya habari ndani na nje ya CCM zinadai kuwa idadi hiyo inaweza kuongezeka na pengine hata kufikia wagombea 35, kutokana na baadhi ya makada waliohudhuria vikao vya juu vya chama...
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita watembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro , Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma Novemba 24, 2014 kwa mwaliko wa Mbunge wao, Lolesia Bukwimba. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma kwa mwaliko wa Mbunge wao wa jimbo la Busanda Lolesia Bukwimba (wapili kushoto kwake) Novemba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri...