MKUTANO WA WAHARIRI KUHUSU MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-QDYo0s0Pn98/Vl8WeFfVRRI/AAAAAAAIJ2Q/C9xtzMl8IQI/s72-c/c9caa28f-cd89-487b-950d-ee6b148b45b7.jpg)
Mratibu wa Kitaifa wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa yasiyopewa Kipaumbele, Dkt. Upendo Mwingira akielezea jinsi Serikali inavyojitahidi kupambana na magonjwa hayo, ambayo baadhia yake ni Matende, Mabusha, Minyoo ya Tumbo, Kichocho, Trakoma na Usubi kwa baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii leo jijini Dares Salaam.
Mratibu wa Kitaifa wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa yasiyopewa Kipaumbele, Dkt. Upendo Mwingira...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-d8KO7qZjGVU/VXbPyxprktI/AAAAAAAHdVI/uQfqAv7h0E4/s72-c/20150609043451.jpg)
Mkutano wa 4 wa wadau wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele waanza leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-d8KO7qZjGVU/VXbPyxprktI/AAAAAAAHdVI/uQfqAv7h0E4/s640/20150609043451.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-1Lymc1Ubo/VXbP0pDKKPI/AAAAAAAHdVc/W2Y8uuG7JQk/s640/20150609043451u.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jf5l3s9gfc0/VgAqfP3Ea3I/AAAAAAAH6jg/VUTKc07X9Io/s72-c/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA SABA WA KIMATAFA KUHUSU NAMNA YA KUZUWIA MAGONJWA YA ASILI NA ULEMAVU KATIKA NCH ZINAZOLEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jf5l3s9gfc0/VgAqfP3Ea3I/AAAAAAAH6jg/VUTKc07X9Io/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5aYOqJds7G0/VgAqi6JkREI/AAAAAAAH6jo/fbCCQBe0Dwc/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
‘Watu milioni tano waathirika magonjwa yasiyo na kipaumbele’
INAKADIRIWA takribani watu milioni 5 wameathirika na magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele yanayosababisha ukuaji duni kwa watoto, ulemavu, upungufu wa damu mwilini, upofu, uharibifu wa ngozi na saratani ya kibofu hapa...
9 years ago
MichuziWizara ya Afya yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8CuFBB19jB4/VbY9f0DrfzI/AAAAAAABS14/UtbCf82JdJI/s72-c/811831237_77849_17346684050251778912.jpg)
YALIYOJIRI KATIKA MKUTANO WA UKAWA NA WAHARIRI ULIOFANYIKA MAKAO MAKUU YA CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-8CuFBB19jB4/VbY9f0DrfzI/AAAAAAABS14/UtbCf82JdJI/s640/811831237_77849_17346684050251778912.jpg)
Lipumba: Maswali ya ufisadi katika Tanzania ni maswala ya Mfumo, mfumo wa siasa ndio unaoendeleza ufisadi, Lowassa ameachia madaraka mwaka 2008, katika kipindi hiki ufisadi umeongezeka au yamepungua? Pia yeye mwenyewe alisema mwenye ushahidi aende mahakamani.
Swala la kumtangaza mgombea urais ni utaratibu wa vyama,Lakini nina uhakika Mwanzoni mwa mwezi August tutakuwa tumepata mgombea...
5 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Madini afanya mkutano na Wahariri wa Vyombo vya habari
11 years ago
Michuzi25 May
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Wanahabari wapewa semina kuhusu magonjwa yasiyoambukiza
Kaimu Mkurugenzi Magonjwa Yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kwenye semina ya siku moja kuhusu magonjwa yasiyoambukiza. Kulia ni Meneja Mradi Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza (TANCDA).
Kaimu Mkurugenzi Magonjwa yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Auson Rwehimbiza (kulia), akimuelekeza jambo Ofisa Habari wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,...