Naibu Waziri wa Madini afanya mkutano na Wahariri wa Vyombo vya habari
Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo, akizungumza na wahariri wa Vyombo vya Habari Nchini (hawapo pichani), leo katika Ofisi ndogo za Wizara hiyo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano mkubwa Wa Madini utakaofanyika katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Tanzania kuanzia Februari 21 hadi 23, 2020.
Baadhi ya Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo wakati wa Mkutano wake na wahariri wa vyombo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FNObDwAkBU/U4oBNymcIQI/AAAAAAAFm1g/b6AL-nAQP5c/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Mkutano wa mashauriano kati ya Baraza la habari Tanzania(MCT) na Wahariri pamoja na watendaji wakuu wa Vyombo vya habari
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FNObDwAkBU/U4oBNymcIQI/AAAAAAAFm1g/b6AL-nAQP5c/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-deaVy2pWixQ/U4oBNzFxelI/AAAAAAAFm1o/erJ70iKYRng/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JsbIK-cD1ak/U4oBOInTWiI/AAAAAAAFm1k/D6gfmTApz0E/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).(Picha na OMR).
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal amevitaka vyombo vya habari na...
10 years ago
GPLMAHAKAMA YA TANZANIA YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
VijimamboHALI YA HEWA YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtFo8bkayxY/VBmV6eNobEI/AAAAAAAGkGs/zOfF6cXr8I8/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b8Zmny2vKeo/VBmV6oR7rQI/AAAAAAAGkG4/zvICOYWz1fA/s1600/04.jpg)
10 years ago
Michuzi02 Oct
SSRA yakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka (kulia) akizunguma wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Picolo, Kawe jijini Dar es Salaam. Kushoto ni baadhi ya wahariri hao.
10 years ago
GPLLOWASAA AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI JANA DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sy2auKMsWC8/VI3qNCaClTI/AAAAAAAG3N8/rWrnw0eMqT4/s72-c/Asumpta_tuzo%2Bya%2Bfao.jpg)
PPF YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MJINI BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-sy2auKMsWC8/VI3qNCaClTI/AAAAAAAG3N8/rWrnw0eMqT4/s1600/Asumpta_tuzo%2Bya%2Bfao.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10