‘Watu milioni tano waathirika magonjwa yasiyo na kipaumbele’
INAKADIRIWA takribani watu milioni 5 wameathirika na magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele yanayosababisha ukuaji duni kwa watoto, ulemavu, upungufu wa damu mwilini, upofu, uharibifu wa ngozi na saratani ya kibofu hapa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kikwete ni rais wa watu milioni tano?
RAIS Jakaya Kikwete na Jaji Joseph Warioba wamejibizana kijanja, na wamenikumbusha mchuano wa urais mwaka 2005. Nikakumbuka jinsi Jaji Warioba alivyokuwa shabiki wa Dk. Salim Ahmed Salim, aliyekuwa anawania urais...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QDYo0s0Pn98/Vl8WeFfVRRI/AAAAAAAIJ2Q/C9xtzMl8IQI/s72-c/c9caa28f-cd89-487b-950d-ee6b148b45b7.jpg)
MKUTANO WA WAHARIRI KUHUSU MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-QDYo0s0Pn98/Vl8WeFfVRRI/AAAAAAAIJ2Q/C9xtzMl8IQI/s640/c9caa28f-cd89-487b-950d-ee6b148b45b7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q9aw8ah_uso/Vl8WfK3HAfI/AAAAAAAIJ2c/T6giGi8AlPM/s640/8be04e5a-4bfb-426f-87e9-6a6600bb941c.jpg)
9 years ago
MichuziWizara ya Afya yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-d8KO7qZjGVU/VXbPyxprktI/AAAAAAAHdVI/uQfqAv7h0E4/s72-c/20150609043451.jpg)
Mkutano wa 4 wa wadau wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele waanza leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-d8KO7qZjGVU/VXbPyxprktI/AAAAAAAHdVI/uQfqAv7h0E4/s640/20150609043451.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-1Lymc1Ubo/VXbP0pDKKPI/AAAAAAAHdVc/W2Y8uuG7JQk/s640/20150609043451u.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VU_eQxL9jKg/Xky6h7K7zCI/AAAAAAALeLs/YP-9mUIycpsIcVx1gF4IsIGkdBpBByRBgCLcBGAsYHQ/s72-c/ds.jpg)
Waathirika wa mafuriko mkoani Lindi wapata msaada wa thamani wa Sh.Milioni 30
Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya China inayofanya kazi nchini (Over Seas Chinese Services Center) imetoa msaada kwa Wananchi waliopata maafa ya mafuriko mkoani Lindi.
Msaada huo umekabidhiwa kwa Chama cha Msalaba Mwekwendu Tanzania Red Cross wenye thamani ya sh.milioni 30.Akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa akikabidhi msaada huo Mkurugenzi wa Taasisi ya China Aston Yi amesema kuwa Tanzania ni China ni familia moja hivyo wanajibu wa kutoa msaada...
11 years ago
Habarileo22 Feb
Milioni 100/- zahitajika Lindi kwa waathirika wa mvua, upepo
JUMLA ya Sh milioni 100 zinahitajika kufanya ukarabati wa shule za msingi, sekondari na zahanati wilayani Kilwa mkoani Lindi zilizoezuliwa bati na majengo kuharibiwa kutokana na mvua kali zilizoambatana na upepo mwezi huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_125321.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YATOA ZAIDI YA MILIONI 21 KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO PAWAGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125321.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiwa anaongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea msaada kutoka katika Kampuni ya QWIHAYA ya wilaya Mufindi kwa ajili ya wahanga wa mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Mbingama mkoani Iringa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YFtTabfUZnU/Xn4ZtpAQqvI/AAAAAAAAHwM/IrOkO93ft2QbccZi3CDY9WRWu5oJDc8eQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125209.jpg)
Huu ndio msaada wa Mirunda ambayo itaenda kusaidia katika ujenzi wa makazi mapya kwa wananchi wa kitongoji cha Mbingama
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
KAMPUNI ya QWIHAYA GENERAL CO LTD ya mkoani Iringa imetoa msaada wa zaidi ya shilingi milioni 21 kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Magonjwa ya kuhara yaua milioni moja
WATU milioni 1.8 wanakufa kila mwaka duniani kutokana na magonjwa ya kuhara yanayosababishwa na kutokunywa majisafi na salama. Mkurugenzi wa shirika lisilokuwa la kiserikali linalojishughulisha na uboreshaji wa afya (HAPA)...