Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa World Health Assembly waendelea Geneva Uswisi

Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii Dkt.Seif Rashid (MB) amehutubia katika mkutano wa 67 wa shirika la Afya Duniani, katika hotuba yake alieleza mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na Tanzania katika sekta ya Afya.Baadhi ya mambo aliyoyaeleza ni Pamoja na mafanikio ya utekelezaji wa Malengo ya millennia hususani lengo la milenia namba nne linalohusu upunguzaji wa vifo vya watoto.vile Vile alieleza mafanikio yaliyofikiwa katika kapunguza maambukizi ya virus Vya ukimwi kutoka asilimia 5.7...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

PROF. KABUDI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI AKIWA GENEVA - USWISI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi(Mb) akisaini katika kitabu cha wageni katika ubalozi  wa kudumu wa Tanzania umoja wa Mataifa uliopo Geneva Nchini Uswisi
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika kikao cha 43 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kinachofanyika Geneva,Uswisi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA IMECHAGULIWA KUWA MJUMBE KATIKA BARAZA LA UTENDAJI LA WMO,GENEVA USWISI.

Dr. Kijazi amechaguliwa tarehe 4 June 2015 bila kupingwa wakati wa Mkutano Mkuu wa kumi na saba wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO-Congress wa 17) ulioanza tarehe 25 Mei ambao unatarajiwa kumalizika tarehe 12 Juni, 2015 jijini Geneva, Uswisi.
Kuchaguliwa kwa Dr. Agnes Kijazi kumetokana na jitihada kubwa za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Ubalozi wetu wa Kudumu Umoja wa Mataifa, Geneva.


Dr. Kijazi anaongoza ujumbe wa Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA WATANZANIA WAISHIO GENEVA-USWISI (TAS) WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI

Chama cha Watanzania waishio Geneva wametoa mchango wa vifaa ikiwa pamoja na tank la kuhifadhia maji,viti na meza za kusomea, jiko la gesi na mtungi wa Gesi ili kusaidia watoto wa kituo cha Amani Orphanage Centre.  Msaada huo uliwasilishwa kwa niaba ya TAS na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt Agnes Kijazi. Akiwasilisha mchango huo kwa niaba ya TAS. Dkt Kijazi alielezea upendo walionao watanzania hao kwa kuwakumbuka watoto wa kituo cha Amani. Alisema upendo huo ni...

 

10 years ago

Michuzi

Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Geneva, Uswisi

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, Dr. Margaret F. Chan amemteua Dr. Winnie  Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani, upande wa masuala ya Ukimwi, Kifua Kikuu Malaria na Magonjwa yaliyosahaulika. Uteuzi huu umetangazwa rasmi na Dr. Chan wakati wa kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Shirika la Afya Duniani kilichoanza tarehe 14 mpaka tarehe 26 Mei 2015, Geneva, Uswisi.
Dr. Mpanju-Shumbusho ni mtaalamu na kiongozi mwenye uzoefu wa zaidi ya...

 

10 years ago

Michuzi

IPU underway in Geneva, EALA Speaker Zziwa addresses General Assembly

East African Legislative Assembly
The 131st Inter-Parliamentary Union Conference commenced in Geneva, Switzerland yesterday with a clarion call to end violence against women and to strive to tackle growing threats to global peace, security and human rights.
The global conference will also see the election of a new President of the IPU following the expiry of the three year term of incumbent, Hon Abdelwahad Radi of Morrocco.
In his remarks, the out-going President of the IPU, Abdelwahad Radi...

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete chairs the UN Meeting on Health Crises in Geneva

The Chaiperson of the UN High level Panel on The global Response to Health Crises President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete during a meeting in Geneva today other panelists from second left Ms.Joy Phumaphi,Calmy Rey, and Celso Amorim from Brazil.Other panel memeber Rajiv Shah from the US participated in the panel through Video conference.
 The Panel was appointed by the UN Secretary General Ban ki Moon on April this year to make recommendations to strengthen national and international systems to...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Modest Mero afanya mazungumzo na Mh. Dkt. Seif Rashid, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii na Bi. Agness Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa, Geneva, Uswisi

 Balozi Modest Mero na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Bi. Agness Kijazi katika picha ya pamoja, kwenye makazi ya balozi Tanzania nchini Geneva
Hivi karibuni Mh. Modest Mero, Balozi wa Tanzania, Geneva alifanya mazungumzo ya pamoja na Mh. Dkt. Seif Rashid na Bi. Agness Kijazi, katika makazi ya Balozi, Geneva.
Ujumbe wa Mh. Waziri ulikuwa Geneva kwenye kikao cha Bodi ya " Global Alliance for Vaccines and Immunization", Geneva, ambapo Mh. Waziri ni mjumbe wa Bodi. Na pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani