Mkutano wa World Health Assembly waendelea Geneva Uswisi
Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii Dkt.Seif Rashid (MB) amehutubia katika mkutano wa 67 wa shirika la Afya Duniani, katika hotuba yake alieleza mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na Tanzania katika sekta ya Afya.Baadhi ya mambo aliyoyaeleza ni Pamoja na mafanikio ya utekelezaji wa Malengo ya millennia hususani lengo la milenia namba nne linalohusu upunguzaji wa vifo vya watoto.vile Vile alieleza mafanikio yaliyofikiwa katika kapunguza maambukizi ya virus Vya ukimwi kutoka asilimia 5.7...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziPROF. KABUDI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI AKIWA GENEVA - USWISI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika kikao cha 43 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kinachofanyika Geneva,Uswisi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BdgbjXnnHMQ/VXF_c612spI/AAAAAAAHcQ8/5Obap4TI6H8/s72-c/Untitled.png)
TANZANIA IMECHAGULIWA KUWA MJUMBE KATIKA BARAZA LA UTENDAJI LA WMO,GENEVA USWISI.
Kuchaguliwa kwa Dr. Agnes Kijazi kumetokana na jitihada kubwa za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Ubalozi wetu wa Kudumu Umoja wa Mataifa, Geneva.
Dr. Kijazi anaongoza ujumbe wa Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/d0U9WCOXh_U/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MmqlyopQW0w/U1bLyEib1zI/AAAAAAAFcZQ/lPxVNDdXf8E/s72-c/unnamed+(50).jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA WAISHIO GENEVA-USWISI (TAS) WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI
10 years ago
Michuzi16 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s72-c/0999700.jpg)
Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Geneva, Uswisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s400/0999700.jpg)
Dr. Mpanju-Shumbusho ni mtaalamu na kiongozi mwenye uzoefu wa zaidi ya...
10 years ago
Michuzi14 Oct
IPU underway in Geneva, EALA Speaker Zziwa addresses General Assembly
The 131st Inter-Parliamentary Union Conference commenced in Geneva, Switzerland yesterday with a clarion call to end violence against women and to strive to tackle growing threats to global peace, security and human rights.
The global conference will also see the election of a new President of the IPU following the expiry of the three year term of incumbent, Hon Abdelwahad Radi of Morrocco.
In his remarks, the out-going President of the IPU, Abdelwahad Radi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r2EeHjL-TFE/VaYuQAVJxXI/AAAAAAAHp3M/mKNXvz1P6P0/s72-c/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
President Kikwete chairs the UN Meeting on Health Crises in Geneva
![](http://3.bp.blogspot.com/-r2EeHjL-TFE/VaYuQAVJxXI/AAAAAAAHp3M/mKNXvz1P6P0/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
The Panel was appointed by the UN Secretary General Ban ki Moon on April this year to make recommendations to strengthen national and international systems to...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s72-c/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Balozi Modest Mero afanya mazungumzo na Mh. Dkt. Seif Rashid, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii na Bi. Agness Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa, Geneva, Uswisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s1600/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Hivi karibuni Mh. Modest Mero, Balozi wa Tanzania, Geneva alifanya mazungumzo ya pamoja na Mh. Dkt. Seif Rashid na Bi. Agness Kijazi, katika makazi ya Balozi, Geneva.
Ujumbe wa Mh. Waziri ulikuwa Geneva kwenye kikao cha Bodi ya " Global Alliance for Vaccines and Immunization", Geneva, ambapo Mh. Waziri ni mjumbe wa Bodi. Na pia...