MKUU WA WILAYA YA KIBONDO VENANCE MWAMOTO AMTAKIA KILA LAKHERI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA,GODFREY MGIMWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D1sUqgmr_SY/Uxf6cuRatsI/AAAAAAACbq8/ryT36AC8N1A/s72-c/IMG_6774.jpg)
Pichani Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo,Mkoani Kigoma Mh.Venance Mwamoto akisalimiana na kumtakia kila la kheri mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Ndugu Godfrey William Mgimwa,katika mchaka mchaka wake wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga,Iringa Vijijini na hatimae kuibuka mshindi.
Uchaguzi wa jimbo hilo unatarajiwa kufanyika mnamo tarehe 16 machi 2014,ambapo wananchi wa jimbo hilo wameombwa kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi hilo la upigaji kura na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s72-c/IMG_7757.jpg)
Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s1600/IMG_7757.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShlZgfeEtBU/Uxt7x5TTc1I/AAAAAAACb6o/R1PCrEQ8wv4/s1600/IMG_7760.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/14.jpg)
MGOMBEA UBUNGE GODFREY MGIMWA AENDELEA NA KAMPENI JIMBO LA KALENGA
11 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Michuzi28 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xxE4etyf5sU/Ux1GWtnX2GI/AAAAAAACb-Y/LobCy5BaPoc/s72-c/1.jpg)
MGOMBEA UBUNGE (CCM) JIMBO LA KALENGA GODFREY MGIMWA AHUTUBIA KWENYE MVUA KUBWA,WANANCHI WAKESHA NAE.!
![](http://3.bp.blogspot.com/-xxE4etyf5sU/Ux1GWtnX2GI/AAAAAAACb-Y/LobCy5BaPoc/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi11 Feb
CCM YATEUA MGOMBEA WAKE UCHGAUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA, NI GODFREY WILLIAM MGIMWA
![](https://4.bp.blogspot.com/-n8Ddr_7XSkc/Uvo3GMb3iQI/AAAAAAAAjtg/AHXJTljDTrM/s1600/MGIMWA+2.jpg)
Akizungumza na waandfishi wa habari leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Katribu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, Kamati Kuu ya CCM imemridhia Godfrey kupeperusha bendera ya CCM baada ya kukidhi vigezo licha...
11 years ago
Michuzi10 Mar
10 years ago
GPLMBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA