Mkwere ateuliwa Balozi ‘Tupe Jina’
MUIGIZAJI wa vichekesho kutoka kundi la Mizengwe, Hemed Khalida ‘Mkwere’, ameula baada ya kuchaguliwa kuwa balozi wa kuhamasisha upatikanaji wa jina la Kampuni ya Simu iliyozinduliwa bila jina. Kampeni hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s72-c/download.jpg)
Balozi Rajabu Hassan Gamaha ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s1600/download.jpg)
Balozi Gamaha anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Mwasi Nzagi ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huo Balozi Gamaha alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Uteuzi huo unaanza mara moja.
Imetolewa na:Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dar es Salaam
27 Aprili 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, BALOZI SIMBA NAIBU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya (chini) kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Wizarani...
9 years ago
MichuziKITENGE ATEULIWA KUWA BALOZI WA STARTIMES
11 years ago
Habarileo12 Dec
Dk Aziz Mlima ateuliwa Balozi Malaysia
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk Aziz Ponary Mlima kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malaysia.
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Balozi Maajar ateuliwa Mwenyekiti bodi ya BOA
BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Benki ya Afrika (BOA) na kuidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Maajar alikuwa mjumbe wa Bodi...
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Lupita Nyong'o:ateuliwa balozi wa kulinda Tembo
10 years ago
Bongo510 Oct
Mrisho Mpoto ateuliwa kuwa balozi wa tuzo za Kora Tanzania
9 years ago
Vijimambo08 Sep
Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.8020fashionsblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F09%2Fflavy-650x432.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za wizara hiyo
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.8020fashionsblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F09%2FFlaviana-matata.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia kazi zake za nchini Marekani Flaviana Matata amechagulia na Wizara ya Maliasili kuwa Balozi wa Hiyari 'Good Will Ambassador' kwa kipindi cha miaka mitatu kwa dhumuni la kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania ndani na nje ya nchi.
Flaviana ambaye juzi alikuwa mmoja kati ya shuhuda wa kushuhudia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8YvkhgWXPhU/U_z1GgeAOII/AAAAAAAGClY/ufZZ2RA74OQ/s72-c/New%2BPicture.bmp)