Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlipuko mkubwa katika mkahawa Somalia

Takriban watu 10 wameuawa kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika hoteli moja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko Mkubwa karibu na Bunge Somalia

Mlipuko mkubwa umetokea na milio ya risasi imeripotiwa karibu na Bunge la Somalia.

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA

Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa SomaliaDuru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watikisa Cairo

Maafisa wa Misri wanasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa wa bomu nje ya Makao makuu ya polisi jijini Cairo ambapo watu 4 wamefariki na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watokea Nigeria

Mlipuko umetokea katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja karibu na eneo ambako kulitokea shambulizi baya la bomu mwezi uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa wakumba Mogadishu

Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja mkuu wa ndege.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa wasikika Mogadishu

Ripoti kutoka Somali zinasema kuwa mlipuko mkubwa umesikika karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Mogadishu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa wa Ebola hautarajiwi:WHO

Mlipuko mkubwa wa Ebola nchini Marekani na kwingineko nchi za magharibi hakukupewa mifumo imara ya afya kuudhibiti

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watikisa Mogadishu

Mshambuliaji wa kujitoa muhanga amejilipua akiwa ndani ya gari na kuwauwa watu 12 na kujeruhi wengine wanane.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA

WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani