Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mo Kids Talent kurindima Dar

TAMASHA la kusaka, kukuza na kuchochea vipaji vilivyojifisha vya watoto na vijana Tanzania lijulikanalo kama ‘Mo Kids Got Talent’ linatarajiwa kufanyika Hoteli ya Bahari Beach Ledger Plaza jijini Dar es...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MOUREEN AIBUKA SUPA STAA WA SHINDANO LA MO KIDS GOT TALENT 2013

Kijana Salum Nyangumwe (17) mshindi wa pili aliyeimba wimbo wa My Number One wa Msanii Nasib Abdul a.k.a Diamond wakati wa fainali za kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la ”MO Kids Got Talent 2013" lililofanyika mwishoni mwa Juma kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar es Salaam. Supa Staa wa Shindano la "MO Kids Got Talent 2013"… ...

 

11 years ago

GPL

WATOTO 15 WATINGA FAINALI ZA SHINDANO LA "MO KIDS GOT TALENT 2013", FAINALI KUFANYIKA LEO JIONI LEDGER PLAZA - BAHARI BEACH‏

Lango kuu la kuingilia kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar panapofanyika shindano kali la kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la "MO Kids Got Talent 2013" Chief Judge wa Shindano la vipaji vya watoto na vijana wadogo la “MO Kids Got Talent”, Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki walioingia semi finals za shindano hilo linalofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza...

 

9 years ago

GPL

KAMPENI YA BINTI THAMANI KURINDIMA DAR

Walioko mbele kutoka kushoto ni, Meneja Mipango wa Don Bosco, Rosemary Tery, Mkuu wa Chuo cha Don Bosco Mkoa wa Dar es Salaam, Jose Kaiphan na Mratibu, Agnes Mgongo. Baadhi ya wasichana watakaoshiriki kampeni hiyo wakiwa kwenye mkutano huo na wanahabari.…

 

10 years ago

Michuzi

michuano ya Airtel Rising Stars Yaendelea kurindima uwanja wa karume jijini dar

 Nahodha wa Timu ya Ilala, Maisala Adam (kulia) akimiliki mpira asinyang'anywe na mshabuliaji wa Kinondoni, Ibrahimu Chuli wakati wa michuano ya Airtel Rising Stars inayofanyika katika Kiwanja cha Karume jijini Dar es Salaam jana. Timu ya Ilala ilishinda 1-0.  Mchezaji wa Timu ya Ilala, Hussein Rashid (kulia) akipimana ubavu na Beki wa Timu ya Kinondoni, Miraji Kwangaya wakati wa michuano ya Airtel Rising Stars inayofanyika katika Kiwanja cha Karume jijini Dar es Salaam jana. Timu ya...

 

11 years ago

Daily News

85 Dar street kids reunited with families


Daily News
85 Dar street kids reunited with families
Daily News
ABOUT 85 street children under the age of 18 years comprising 10 boys and 75 girls from various regions countrywide have already been returned to their native villages. The vulnerable children were successfully reunited with their families after deliberate ...

 

11 years ago

Michuzi

MISS DAR CITY CENTRE 2014 TALENT SHOW KUTIKISA MAISHA CLUB



 Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii leo. Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao.   ********* Na Father Kidevu Blog  WANYANGE 20 wanao wania taji la Miss Dar City Center kesho Mei 16 mwaka huu watawasha moto vikali katika ukumbi wa Maisha Clab wakati wa shindano lao la Vipaji.
Shindano hilo litaongozwa na wasanii, Rich...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani